Ndoa ya bi ange kagame na bwana bertrand

Ndoa ya bi ange kagame na bwana bertrand

Okay tujadili nini hapa

Hebu tupe mwongozo

Au tujadili jinsi ya sisi wafupi kuwa warefu na warefu kuwa wafupi
 
Nakumbuka ya mtoto wa kikwete pale mlimani city,bata lake lilikua ni usipime aiseee.
Harusi za binti wa rais kimya kimya..sijui hata lini ange kuachumbiwa
Ila harusi za wagogo na wasukuma sasa....
 
Write your reply...
zamani warefu tuliitwa ngongoti
siku hizi urefu dili.
btw naskia huyo ange alikuwa analiwa na yule mkali meddy?
 
mkuu hukuskia juzi kat apa meddy alimuomba msamaha prezdaa akarudi rwanda?
maana kilivyonuka alienda kukaa usa.
Meddy alikaa USA kwa miaka 7 sababu ya shughuli za music,2017 alitaka kuzinguana kidoooogo na serikali yake baada ya kutaka kwenda kupiga shoo Burundi wkt hizo nchi zilishavunja mahusiano.,ila hajawahi kua na kwere na PK.

Na Ange na Meddy wako classy tofauti hao na hawakuwahi ku-date.
 
Meddy alikaa USA kwa miaka 7 sababu ya shughuli za music,2017 alitaka kuzinguana kidoooogo na serikali yake baada ya kutaka kwenda kupiga shoo Burundi wkt hizo nchi zilishavunja mahusiano.,ila hajawahi kua na kwere na PK.
Na Ange na Meddy wako classy tofauti hao na hawakuwahi ku-date.
unamana kwamba hao kuna pengo kubwa maskini/tajiri mkuu?
 
ouk sawa mkuu
ila yule jamaa meddy naskia kule kwao rwanda kapta na mastaa kibao tu
Hio lazima mkuu,kule meddy si ndio kama diamond wao kwa huko kwao(cheki hata diamond anavyowapiga kazi mastaa wenzie hapa Bongo)

Anawatembezea rungu si polepole.
 
Hio lazima mkuu,kule meddy si ndio kama diamond wao kwa huko kwao(cheki hata diamond anavyowapiga kazi mastaa wenzie hapa Bongo)
Anawatembezea rungu si polepole.
hahaha we jamaa bhana et ndo diamond wao. me nilikuwaga najua ni chipukizi kiongozi?
 
Duh jamaa warefu kama ngongoti sasa tusubili watoto sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom