Ndoa vs uzinzi... Kipi gharama kubwa?

Ndoa vs uzinzi... Kipi gharama kubwa?

Duh... we babu ni nooooma, nikizeeka sitaki kurithi laana zako
Hahahahah we Nazjaz unataka kumuuliza nini babu yenu?

mwenzio nshazeeka kiasi kwamba mpaka storongo iamke ni lazima niangalie picha za ngono. Na ikaamka afu bibie akachelewa kuitupiamo..... ikilala ni mpaka tena wiki mbili ndo inaamka...

Hebu niacheni babu yenu, niacheni nizeeke vizuri.
 
Babu Asprin, kuanzia lini ng'ombe akapata matende?
Hebu niacheni babu yenu, niacheni nizeeke vizuri.[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Duh... we babu ni nooooma, nikizeeka sitaki kurithi laana zako
Hahahaha.... si afazali zangu kuliko za kiongozi wako.

Sasa hapa kama si laana ni kitu gani analeta taarab kwenye serikali sikivu?

attachment.php
 
GHARAMA KUBWA WANAZIJUA WANZINZI WANANDOA!!!!!!!!!!!! HIZO RATE ZA UZINZI NA KWA MABACHELOR, ILA KWA WALIOOA A.K.A WAASHERATI ZINA TRIPPLE!!!! Mume wa mtu mtamu nyie japo mie siwalagi!!!!!!! Kazi Ipo!!!!!!!!!!!

Halafu sijui mi ndio nimelogwa??
Nahonga kichizi nikiwa magendo, nikiwa home hata nikiombwa mia ya kununua kiberiti nakuwa mkali utafikiri nimeshikwa masaburi
 
Mke is cheap ukipiga kwa minimum ya miaka 30 alafu a wife will always be there forever.
 
Du uzinzi ni kiboko!!! Ila siku hizi wengi wajanja wanapenda wazini na wanawake wenye ka income kidogo ili angalao achangie hata teksi kama si mafuta ya gari lake kwendwa kwenye uzinzi!!! Ila wanawake msikubali kuchangia hata senti tano, kamua huyo anayejidai ni kidume mtu ana mke huku anakutaka!!! Vingunguti sawasawa, chuna manyoya yote!!
 
ukitaka kuepuka garama kuwa mtawa... garama kwenye mahusiano hazikwepeki cha msingi kama mnapendana kweli ni kuangalia namna ya kuzipunguza
 
Nakaribisha kukosolewa, huu ni mtazamo wangu tu, na wewe pia waweza weka wako.

[TABLE="width: 677, align: left"]
[TR]
[TD]GHARAMA ZA KUOA
[/TD]
[TD]GHARAMA ZA UZINZI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Kujitambulisha…….. 20,0000/=
[/TD]
[TD]· Maandalizi ya mihadi ………………….20,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Kishika uchumba……….50,000/=
[/TD]
[TD]· Vocha ya simu ya mrembo……………10,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Mahari……………………… 300,000/=
[/TD]
[TD]· Vinywaji na viburudisho……………… 75,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Harusi…………………..7,000,000/=
[/TD]
[TD]· Hotel/ Guest House…………………… 50,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· Condom……………………………………… 3,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· Hela ya taxi ya mrembo………………… 30,000/=

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· Posho ya mrembo………………………. 20,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· Mizinga kwa mwezi……………………300,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· Shopping …………………………………..500,000/=
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]· HUU NI MZUNGUKO WA MWAKA MZIMA
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Ndoa unachangisha ndugu na jamaa, za uzinzi utamchangisha nani?
 
hihihihi huu uzi umenichekesha balaaa. Kama cost benefit analyisis vile..
 
Back
Top Bottom