Access Denied
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 655
- 209
Wanawake walikuwa kwenye semina wakaulizwa., mara ya mwisho kumwambia mumeo kuwa unampenda ni lini? wengine wakasema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu.muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mumewe sms amwambie nakupenda mume wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake.majibu yalikuwa hivi:
1.unaota au?
2.umekumbwa na nini?
3.?
4.utanieleza hii sms ulikuwa unatuma kwa nani
5.leo sikusamehe najua kuna kitu.
6.huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?
7.najua tu tayari umegonga gar
8.wewe sema unachotaka.
9.leo hunipati ng'o!
10.nani mwenzangu?
1.unaota au?
2.umekumbwa na nini?
3.?
4.utanieleza hii sms ulikuwa unatuma kwa nani
5.leo sikusamehe najua kuna kitu.
6.huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?
7.najua tu tayari umegonga gar
8.wewe sema unachotaka.
9.leo hunipati ng'o!
10.nani mwenzangu?