Twin nakubaliana na wewe kabisa!hakuna photocopy ya ndoa!Ndoa ni Kama paradiso ndogo.
Hii ni taasisi ya watu wawili .haina kukaimiana.ni paradiso yangu na baba timmy so usiitamani.tengeneza ya kwako.ni raha TupuMama timmy:nmeitamani hiyo paradiso ndogo yako!haha
Ni kweli twin wangu!tatizo watu wanaingia kwenye ndoa kwa usanii ,wasivyo na woga hata Mungu anafanyiwa usanii pale madhabauni.ndoa ni raha tupuTwin nakubaliana na wewe kabisa!hakuna photocopy ya ndoa!
Hii ni taasisi ya watu wawili .haina kukaimiana.ni paradiso yangu na baba timmy so usiitamani.tengeneza ya kwako.ni raha Tupu
Kwe raha tupuuu...Ni kweli twin wangu!tatizo watu wanaingia kwenye ndoa kwa usanii ,wasivyo na woga hata Mungu anafanyiwa usanii pale madhabauni.ndoa ni raha tupu