Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 944
- 1,628
Leo hapa kijiweni NYASAKA CENTER. mzee wetu leo kaja na neno la kutuambia vijana kuhusu NDOA.
Ndoa ni mpango mzuri kwa mwanaume na ni fursa kwa MWANAMKE akiwa na maana ya kwamba Mwanaume ili aoe ni lazima awe amependa na ameamua ila MWANAMKE ili aolewe 99% wanaangalia nini atapata kwenye ndoa hiyo, either famia ya MUME inajiweza au Jamaa anajiweza.
Ndio maana wanawake huwashauri watoto wao wa kike kuwakubalia wanaume wenye NACHO na sio MIKONO MITUPU BOY au wale wa INSHALLAH au BWANA ATATENDA.
MZEE WA KIHAYA AKAMALIZA KWA KUSEMA.
"A reason why the ring is put on the left hand is because marriage is not right"
MWISHO.
Ndoa ni mpango mzuri kwa mwanaume na ni fursa kwa MWANAMKE akiwa na maana ya kwamba Mwanaume ili aoe ni lazima awe amependa na ameamua ila MWANAMKE ili aolewe 99% wanaangalia nini atapata kwenye ndoa hiyo, either famia ya MUME inajiweza au Jamaa anajiweza.
Ndio maana wanawake huwashauri watoto wao wa kike kuwakubalia wanaume wenye NACHO na sio MIKONO MITUPU BOY au wale wa INSHALLAH au BWANA ATATENDA.
MZEE WA KIHAYA AKAMALIZA KWA KUSEMA.
"A reason why the ring is put on the left hand is because marriage is not right"
MWISHO.