Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
tena?
Anatakiwa ajiongeze vipi. Au ile hoja kwamba wanawake wa siku hizi mnapenda Pesa na si wanaume wanaowaoa ina ukweli fulani?so hajiongezi kwa chochote.
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba wanaume wengi huingia kwenye ndoa bila ya kutarajia, wakati wanawake ni moja ya mipango yao ya maisha tangu wakiwa washichana wadogo. Kwenye ndoa wanawake wanakuwa na mipango tofauti sana na wanaume. Ukija stuka wote hawaitamani ndoa nyumba inakuwa kama jela vile.
Ni nani hasa kati ya mwanamke na mwanaume ambaye anasababisha hadi ndoa ionekane ni taasisi yenye dhahama nyingi kuliko raha?
Hapana mkuu,maisha ya ndoa ni zaidi ya pesa,Anatakiwa ajiongeze vipi. Au ile hoja kwamba wanawake wa siku hizi mnapenda Pesa na si wanaume wanaowaoa ina ukweli fulani?
Unakuwa umeowa ukoo wote!Mwanamke wa hivyo sijamuona labda jimama linaloishi na marioo ila kwa wanaume yapo, tatizo kidogo tu mke anataka hela atume kwao yaani kuoa ukoo maskini ni balaa la kujitakia
Udhaifu wa mwanamke hauwezi kwisha, maana ni andiko.Wakunyeyekewa ni mungu.Mume anaheshimiwa.
Jibu langu ni mwanaume.
Sababu, wanaume wengi hawatumizi majukumu yao,wanaona wakishaoa wamemaliza km ni mke atamkuta tuhapo nyumbani,so hajiongezi kwa chochote.
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba wanaume wengi huingia kwenye ndoa bila ya kutarajia, wakati wanawake ni moja ya mipango yao ya maisha tangu wakiwa washichana wadogo. Kwenye ndoa wanawake wanakuwa na mipango tofauti sana na wanaume.
Ni nani hasa kati ya mwanamke na mwanaume ambaye anasababisha hadi ndoa ionekane ni taasisi yenye dhahama nyingi kuliko raha?
Una maanisha kwamba kila ndoa lazima ifikie mwisho au unamaanisha nini?hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.