Ndoa ndoano kweli kweli

Ndoa ndoano kweli kweli

1. income inequality...

2. religious differences..

3. ideological differences.

4. voice differences..

5. dictatorship.

7. weather and climatic changes due to economic conditions!
 
zamani wazazi wetu walifundishwa kutokuwa na say mbele ya mwanaume kwa kipindi hiki kila nikiwa na maana ya mama na baba wote ni kichwa cha nyumba na kila mtu ana say ndani ya nyumba .....

kwa maana hiyo nyumba haikai nyumba lazima mmoja ajifunze kushuka ili iwe nyumba moja... mi ndo ninachokiona n ninachoelewa

Kwa hiyo wewe ulifundishwa kuwalazima usikubali muwe wote vichwa vya nyumba eeh?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
kila mtu anataka kujifanya ndiye mjuaji katika ndoa ambapo hili hupelekea migogoro na baadaye ndoa kwisha habari yake.
 
1. income inequality...

2. religious differences..

3. ideological differences.

4. voice differences..

5. dictatorship.

7. weather and climatic changes due to economic conditions!

This is superb...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nafurahi sana wanawake wanachangia vizuri - wanaonesha kuguswa. Hapa kuna tumaini la mabadiliko, inawezekana. Ndoa ni nzuri kama maadili yatafuatwa - maana unaweza kufundisha au kuhimiza all the time usifanikiwe kumfunga mbuzi kengele. Maadili. Kubali usikubali, kama hofu ya Mungu haipo - There is no way maadili yakawepo katika kizazi cha dotcom na vizazi vifuatavyo, ni majanga.


Pili ifikie wakati kuifanya jamii iamini kuwa kila mmoja anapaswa kujiamini na kujiona kuwa ni bora, ni wa thamani - Taifa safi na imara linaanzia katika ngazi ya familia, Like the father like the son, Like the mother like the daughter.

Wanaume naomba kwa heshima na taadhima tuwaheshimu wanawake kama dada zetu (KAMA SI WAKE ZETU - ambao tunawapa heshima ya WENZI, The rest are to be respected as siblings).

Last but not in importance: Utandawazi ni homa kwa kila mmoja wetu it is a necessary evil. La muhimu ni kuwa tukiwa karibu na familia, iliyo na hofu ya Mungu na sisi tukiwa mifano hai, tukionesha pendo kwa maisha yote - tunashinda. Si njia rahisi. Ndoa lazima iwe na vita ya kutosha kwa sababu ni Taasisi ya Mungu aliyoiasisi na kuipa Heshima Kuu - hivyo shetani lazima aweke upinzani mkbwa hasa.

Kuporomoka kwa maadili hasa kwa upande wetu akina dada.
Kutaka kupandisha sauti kama wao.
kutaka kufanya mambo kana yao.
Kutokujithamini na kujiheshimu
Kuiga maisha ya nje zaidi tukiamini ni kuendelea.
Wazazi wa sasa tofauti na wazazi waliopita
.
Utakuta mama yuko poa kavaa skintight balaa likewise kwa mtoto. Wote wanamitoko sawa,mazungumzo hayana tofauti.
Kama sio wanawake kua warahisi kwa wanaume basi leo hii tungekua na idadi ndogo sana ya wanaume wanaotoka nje kwa sababu wasingepata mtu lakini leo hii majirani wanashare mwanaume. Mwingine anajua kabisa ni mume wa fulani hata hakatai.
Mwisho kabisa utandawazi.


 
Chanzo...
Kutokuwa wacha Mungu,
Globalization,exposure is js too much,KILA MTU MUCH-KNOW,
mambo ya haki sawa haya,the limiting lines about heshima ya mume are blurred, wanawake tuko juu juu ka vifuu vya nazi nwadays..(HONESTLY me mwnyw kwa kweli ukininyanyasa lazma nikinukishe,siko tyr for any unnecesary usumbufu)
Malezi ovyo ya baadhi ya girls(binti mkubwaa hajui kupika,fua,deki nk),kafuga kucha ndefuuu hata kutawaza mtoto HAWEZI,
Uhuni..
Ndoa za kulazimishwa au kujilazimisha,
Short time ya Courtship(eti 3 months mmeoana ,inahuu..)
Life limekuwa busy kchz,man na wife wote busy kusaka noti,kusoma nk
WANAUME,uhuni na wanawake wengi ndo tabia yao,dharau,UCHAFU,ku'expect too much from wife (hadi kupigiwa kiwi viatu kisa kaoa),Kutojibidisha kutafta pesa(kna marioo na wenye low ambitions in life)
 
Kwa hiyo wewe ulifundishwa kuwalazima usikubali muwe wote vichwa vya nyumba eeh?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

mimi nimejifunza mwenyewe tu kwamba linaloleta shida ndani ya ndoa ni nyumba kukaa nyumba ..... unajua ni kwamba hapo kila mtu anasheria zake na namna yake ya kuishi na kila mmoja anataka sheria zake zifuatwe ... kumbuka ndoa ni watu wawili tu sasa hapo ndo ngumi na ndondi zinapoanzia
 
ni upuuzi turn ndio wanaofundishana. ushaona wapi mtu hajaolewa, amezaa na waume wa wenzie au aliyeachika akamfunda MTU kutunza ndoa yake? kitchen party siku hizi ni sehemu ya kutafutia Zawadi

mi mchango wa kitchen party aisee waninunulie tu zawadi na wasinifundishe kitu
 
Wanaume wengi wamekuwa chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika kwa kutotimiza wajibu wao. Matokeo yao yanashusha uwepo wao na umuhimu wao katika nyumba zao. Ndoa nyingi zimekuwa kuwa kila mtu anadai haki kuliko wajibu.
 
mimi nimejifunza mwenyewe tu kwamba linaloleta shida ndani ya ndoa ni nyumba kukaa nyumba ..... unajua ni kwamba hapo kila mtu anasheria zake na namna yake ya kuishi na kila mmoja anataka sheria zake zifuatwe ... kumbuka ndoa ni watu wawili tu sasa hapo ndo ngumi na ndondi zinapoanzia

Vipi sasa inapotokea mwenza hakufundishwa kwao, na kichwa kilala kuchangamka na kujiongeza. Maana nakubaliana na kila mtu hapo juu kuwa jukumu la kufanikisha maisha ya ndoa ni la wote kama wahusika sawa..

Ndo maana nasema vipi kwa wale pia, walioingia kwenye ndoa with much expectations?


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Vipi sasa inapotokea mwenza hakufundishwa kwao, na kichwa kilala kuchangamka na kujiongeza. Maana nakubaliana na kila mtu hapo juu kuwa jukumu la kufanikisha maisha ya ndoa ni la wote kama wahusika sawa..

Ndo maana nasema vipi kwa wale pia, walioingia kwenye ndoa with much expectations?


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

hapo sasa ndo inakuwa tatizo lingine ila bora mimi huwa nakua mkweli kwamba mapenzi na njaa hayapo sasa lazima niolewe na mtu anayejua kutafuta na si mzigo .... neno ilove u lisijenipa shida maisha yangu yote....
 
Back
Top Bottom