Ndoa ndoano kweli kweli

Ndoa ndoano kweli kweli

daaaa me nilifikiri ndoa za masikini tu ndo zina migogoro,,jana huku kwetu kondoa mke wa tajiri mmoja kafumaniwa na mumewe akiliwa uroda na jamaa wa mtaani,,bahati nzuri tu tajiri hakuwa na shabaha ya kumlenga jamaa na risasi
 
nadhani watu tunajisahau sana kua karibu na Mungu kwa kudhan kwamb ukipata mume ama mke ndo basi
maisha ya kuigiza pia sababu.
 
Ndoa za zamani watu walikua wanaoana toka sehemu moja au kijiji kimoja.Na ili uoe/kuolewa kulikua na uchunguzi unafanywa kabla na baada ya kujiridhisha na tabia za waoanaji ndipo ndoa hufungwa. Siku hizi watu wanaoana hata bila kuchunguzana walio wengi wanaangalia vigezo kama mali na urembo. Kwa bahati mbaya mambo haya yamewatawala sana vijana na wanajikuta wameacha kuangalia mambo ya msingi.

Nakumbuka kuna kijana flani alituletea binti na akasema anaoa soon. Tulimuuliza kijana yule kwamba je ameshajiridhisha na tabia ya huyo anaetaka kumuoa basi bila kujiuliza kwanini tuliuliza vile yeye akatujibu na kusema huyo binti yuko safi sana. Hatukuacha kuendelea kumdadisi , tukamuuliza tena je ikitokea baada ya ndoa kibarua kikaota nyasi unafikiri huyo binti ataendelea kuishi na wewe, akajibu tena bila kufikiri na kusema yuko bomba sana.

Basi ndoa ile ilifungwa na sherehe ilikua nzuri mno. Baada ya miezi 2 yule dada alianza maisha ya kutembea nje ya ndoa na akawa jeuri kupita kiasi. Ndoa ile ilikua na migogoro mingi sana kumbe yule mdada alikua hajatulia bali wakati ule alivaa ngozi ya kondoo ili aolewe.

Mitandao inachangia kwa kiasi kidogo sana kwani wanaoitumia ni wachache mno ukilinganisha na wasioijua au wasiotumia. Ili kupunguza migogoro kwenye ndoa nafikiri itakua vema tukijikita ktk kutafuta vyanzo vya migogoro hiyo. Kuna sababu zingine kama kukosa uaminifu kwa wababa ambalo limekua jambo la kawaida sana.
 
zamani wazazi wetu walifundishwa kutokuwa na say mbele ya mwanaume kwa kipindi hiki kila nikiwa na maana ya mama na baba wote ni kichwa cha nyumba na kila mtu ana say ndani ya nyumba .....

kwa maana hiyo nyumba haikai nyumba lazima mmoja ajifunze kushuka ili iwe nyumba moja... mi ndo ninachokiona n ninachoelewa

kweli dada yagu
 
Ndoa za zamani watu walikua wanaoana toka sehemu moja au kijiji kimoja.Na ili uoe/kuolewa kulikua na uchunguzi unafanywa kabla na baada ya kujiridhisha na tabia za waoanaji ndipo ndoa hufungwa. Siku hizi watu wanaoana hata bila kuchunguzana walio wengi wanaangalia vigezo kama mali na urembo. Kwa bahati mbaya mambo haya yamewatawala sana vijana na wanajikuta wameacha kuangalia mambo ya msingi.

Nakumbuka kuna kijana flani alituletea binti na akasema anaoa soon. Tulimuuliza kijana yule kwamba je ameshajiridhisha na tabia ya huyo anaetaka kumuoa basi bila kujiuliza kwanini tuliuliza vile yeye akatujibu na kusema huyo binti yuko safi sana. Hatukuacha kuendelea kumdadisi , tukamuuliza tena je ikitokea baada ya ndoa kibarua kikaota nyasi unafikiri huyo binti ataendelea kuishi na wewe, akajibu tena bila kufikiri na kusema yuko bomba sana.

Basi ndoa ile ilifungwa na sherehe ilikua nzuri mno. Baada ya miezi 2 yule dada alianza maisha ya kutembea nje ya ndoa na akawa jeuri kupita kiasi. Ndoa ile ilikua na migogoro mingi sana kumbe yule mdada alikua hajatulia bali wakati ule alivaa ngozi ya kondoo ili aolewe.

Mitandao inachangia kwa kiasi kidogo sana kwani wanaoitumia ni wachache mno ukilinganisha na wasioijua au wasiotumia. Ili kupunguza migogoro kwenye ndoa nafikiri itakua vema tukijikita ktk kutafuta vyanzo vya migogoro hiyo. Kuna sababu zingine kama kukosa uaminifu kwa wababa ambalo limekua jambo la kawaida sana.
naunga mkono hoja
 
daaaa me nilifikiri ndoa za masikini tu ndo zina migogoro,,jana huku kwetu kondoa mke wa tajiri mmoja kafumaniwa na mumewe akiliwa uroda na jamaa wa mtaani,,bahati nzuri tu tajiri hakuwa na shabaha ya kumlenga jamaa na risasi

mauaji yananukia
 
Kuporomoka kwa maadili hasa kwa upande wetu akina dada.
Kutaka kupandisha sauti kama wao.
kutaka kufanya mambo kana yao.
Kutokujithamini na kujiheshimu
Kuiga maisha ya nje zaidi tukiamini ni kuendelea.
Wazazi wa sasa tofauti na wazazi waliopita. Utakuta mama yuko poa kavaa skintight balaa likewise kwa mtoto. Wote wanamitoko sawa,mazungumzo hayana tofauti.
Kama sio wanawake kua warahisi kwa wanaume basi leo hii tungekua na idadi ndogo sana ya wanaume wanaotoka nje kwa sababu wasingepata mtu lakini leo hii majirani wanashare mwanaume. Mwingine anajua kabisa ni mume wa fulani hata hakatai.
Mwisho kabisa utandawazi.
 
mimi sijui hizi kitchen party wanaambiwa nni?

ni upuuzi turn ndio wanaofundishana. ushaona wapi mtu hajaolewa, amezaa na waume wa wenzie au aliyeachika akamfunda MTU kutunza ndoa yake? kitchen party siku hizi ni sehemu ya kutafutia Zawadi
 
Back
Top Bottom