jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
wakuu naomba mnipe japo ufaham tu,kwanini ndoa za siku hizi zina migogoro sana kuliko zamani?
Je chanzo chake ni wanaume au wanawake au ndo utandawazi?
au ni kuiga mambo ya ulaya maana huku divorce ni kitu cha kawaida.
au ni dada zetu ndo chanzo?wanataka maisha laini wanapokosa migogoro inaanza?
naomben mnijuze kwa hilo.
Je chanzo chake ni wanaume au wanawake au ndo utandawazi?
au ni kuiga mambo ya ulaya maana huku divorce ni kitu cha kawaida.
au ni dada zetu ndo chanzo?wanataka maisha laini wanapokosa migogoro inaanza?
naomben mnijuze kwa hilo.