Hakuna mahali popote kwenye Biblia walipopewa Mamlaka.
Ni utaratibu tuu wa madhehebu.
Hivyo sio dhambi kutunga ndoa kijadi,
Yaani unaenda upande wa kiukeni, unatoa posa, kisha unachukua Jiko lako.
Ndoa inahusu MKE na Mume tuu, kisha kama kuna nyongeza basi ni familia za Pande mbili full stop.
Mambo ya wachungaji ni janja na mbinu ya kuhakikisha Watoto watakaozaliwa wawe Wateja/waumini wa dhehebu Hilo. Na sio vinginevyo