Mtayarishaji
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 291
- 199
Mke baada ya kumaliza kuoga akawa chumbani, mume wake alikuwa amejilaza kitandani, huku akiwa anamuangalia mkewe anavyovaa.
Mara mke akavaa chupi kwa kuigeuza bila kutambua, mumewe akaona kuwa mke aligeuza chupi ila akamkaushia.
Mke akamuaga mumewe kuwa anaenda sokoni, akaondoka.
Alipo rudi nyumbani akakuta mume bado amejilaza, alipokuwa anabadili tena nguo mume akawa anamtazama ghafla akaona chupi mke ameivaa vizuri.
Swali
Kama wewe ndio mume ungefikiri nini?
Na ikiwa mkeo aliondoka amevaa chupi akiwa ameigeuza ila alivyo rudi kutoka sokoni kaivaa vizuri utachukua hatua gani?
NB: Simulizi hii nimeitoa katika group la dini facebook.
Mara mke akavaa chupi kwa kuigeuza bila kutambua, mumewe akaona kuwa mke aligeuza chupi ila akamkaushia.
Mke akamuaga mumewe kuwa anaenda sokoni, akaondoka.
Alipo rudi nyumbani akakuta mume bado amejilaza, alipokuwa anabadili tena nguo mume akawa anamtazama ghafla akaona chupi mke ameivaa vizuri.
Swali
Kama wewe ndio mume ungefikiri nini?
Na ikiwa mkeo aliondoka amevaa chupi akiwa ameigeuza ila alivyo rudi kutoka sokoni kaivaa vizuri utachukua hatua gani?
NB: Simulizi hii nimeitoa katika group la dini facebook.