Ndoa mbaya sana ikiwa...

Hapo sasa.

Alafu mtu anaona solution atafute binti mpya ambaye naye atakuja kuzaa pia,anajikuta anadanda danda tu akiendeshwa na mihamu hamu bila kujua maisha yanaenda alafu hakuna la zaidi linalopatikana.
Wengi huangalia uzuri wa nje na kusahau inner beauty, maana uzuri hupotea tena wanawake tukizaa kunakuwa na changes nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaaa unasaidia kusukuma gari za masela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa.

Alafu mtu anaona solution atafute binti mpya ambaye naye atakuja kuzaa pia,anajikuta anadanda danda tu akiendeshwa na mihamu hamu bila kujua maisha yanaenda alafu hakuna la zaidi linalopatikana.
Na hapo angependa moyoni asingemkimbia wa awali ujue ndoa nzuri sana. Sasa ukiangalia uzuri siku ukapata janga ndo upendo kwishney, pia ukiingia ndoani pia unapunguza uhuni ujue huwa hamna jipya huko tunakohangaika. Ndoa za sikuhizi si mwanaume wala mwanamke wanashindana kwa michepuko kuliko single

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga tu ndo wanawaza kwamba kuna jipya huko nje.
 
Yes Mkuu,kuchagua ndo kila kitu katika maisha.
Kama mtu anaouwezo wa kuchagua jambo alafu asifanye uchaguzi makini basi ataangukia pua tu.
Kuna rafiki yangu mmoja katika advance PCM chuo akachagua kozi ambayo baadae akaona alikosea kwa sababu alikurupuka,nikamuambia jee ukikosea kuchagua mke ambae ndo wa milele tofauti na kozi ya mda?
 
Kiukweli ukikosea mwanzon inakuwa ni tabu sana....na kinachowaponza wengi ni ile wanaita unachagua wife material,hili ni kosa kubwa sana coz wengi wanachagua wanawake wasiowapenda ila wanaojua wanaweza kujenga nao familia,ambae hatompelekesha km anavyotaka lkn sio kwa kigezo cha kumpenda na ndio maana wengi wanachepuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes unatoka Ila na manundu juu plus hasara na kushusha heshima yako kijamii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kushusha heshima kivp?unajua ndio tatizo linalotukumba Waafrica wengi,tunaogopa kuachana kwa kuangalia jamii itatuchukulia vp....tunaishia kuendelea kuishi maisha ya tabu kwenye ndoa ili kuwaridhisha watu wa nje.Matokeo yake kuchepuka na magonjwa ya zinaa vinendelea kutumaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wana mambo mazito kwenye ndos,salama yao ni kubaki.
Kuna watu wanatabika kwenye ndoa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…