NDOA: Kwanini wanawake hutumia unyumba kama silaha?

Wanawake wanaoacha kutoa unyumba si wapumbavu bali wanadamu, andastand, imagine ni kule mara anahenyeshwa kama mashine na kipigo halafu ufungue na miguu. Imagine ni wewe, mtukanane halafu uombwe unyumba unadhani utakuwa na hiyo hamu?


Hao si wanandoa sasa ni wapambanaji!
 
wakiwa wamekasirika au kuhuzunika au kuchoka sana chungwa halitoi jwisi kwa hiyo hawa-enjoy. Huko Eritrea utafanikiwa round ya kwanza na ya pili. Baada ya hapo usipojua kuomba samahani na kubembeleza utakutana na mtihani huu huu. Wanawake ni wale wale, labda kama anakuuzia ndo hata ukimtukana atavumilia (mteja ni mfalme) ili aingize siku.

Najua wazi kuwa ile mambo inahusisha emotions kwenu, ndio maana mnatakiwa kusema mapema penye tatizo ili yaongelewe yaishe. Hizi habari za kunyimana utamu bana, kuna watu na egos zetu tunasusa kabisa, mnarudi kubembeleza nyie.

Btw, hivi make up nasty ni kwenye Tv tu?
 
Najua wazi kuwa ile mambo inahusisha emotions kwenu, ndio maana mnatakiwa kusema mapema penye tatizo ili yaongelewe yaishe. Hizi habari za kunyimana utamu bana, kuna watu na egos zetu tunasusa kabisa, mnarudi kubembeleza nyie.

Btw, hivi make up nasty ni kwenye Tv tu?
si kwenye Tv tu ila na si nzuri. Hata mkiambiwa mapema hamsikilizi au mnasema "yale mambo madogo yale yaishe". Nimempenda mama Chiku kasema yeye huwa habembelezwi unless mechi inahitajika. Kwa hiyo anamnyima ili abembelezwe. Ndo fursa pekee. Utafikiri watoto. Kwa nini msiwabembeleze wake zenu? Mbona "mababy" mnawabembeleza? Mke anaitwa baby saa ya mechi tu tena ka baadhi ya makabila. Kuna kabila unaskia tu "mama bokhe, mama bhoke, sogea nikurenge"!
 
si kwenye Tv tu ila na si nzuri. Hata mkiambiwa mapema hamsikilizi au mnasema "yale mambo madogo yale yaishe". Nimempenda mama Chiku kasema yeye huwa habembelezwi unless mechi inahitajika. Kwa hiyo anamnyima ili abembelezwe. Ndo fursa pekee. Utafikiri watoto. Kwa nini msiwabembeleze wake zenu? Mbona "mababy" mnawabembeleza? Mke anaitwa baby saa ya mechi tu tena ka baadhi ya makabila. Kuna kabila unaskia tu "mama bokhe, mama bhoke, sogea nikurenge"!

Hahaha. Sasa ukiitwa baby, si mtawachanganya watoto? Na kwanini wanamama wengi mnataka kufanya kama ni jukumu la wanaume tu ku-initiate utamu??
 
Hahaha. Sasa ukiitwa baby, si mtawachanganya watoto? Na kwanini wanamama wengi mnataka kufanya kama ni jukumu la wanaume tu ku-initiate utamu??
watoto huwa tunawaita vile kwa sababu tunawapenda sana na si kwa sababu ni wadogo. Utamu huwa tunainishieit kwa signal, samtaimz kwa maneno tukiona mnajitoa ufahamu, ila tukiwa tumekasirika au tumemis kubembelezwa ndo tunaleta hizo za kuletwa.
 
Unakuta jitu likorofi halafu mchezo wenyewe hovyo na siku yenyewe genye ziko mbali una mihasira nae kichwani kibao apeleke huko bakora yake. Unyumba ni zaidi ya wajibu lazima mwanamke awe vizuri psychologically Palipo na ugomvi mwanamke hubana miguu kabisa halafu wanaume wengine hata kubembeleza hawajui yeye akitaka tu anakubaka amemaliza. Sio vizuri jamani
 
Back
Top Bottom