Ndoa kazi...!

Ndoa kazi...!

Mandown

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
1,665
Reaction score
507
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi moja. Wiki iliyo pita shemeji alinikopa laki! nikaahidi kumpatia jioni, kwakuwa mke wake yupo maternity live, naye kwa bahati alinipigia simu akiniomba nimuangalizie balance kwenye account yake, nilishikwa na butwaa kuona salio la ukweli. Nikajua hapa kuna tatizo.

Nilimkopesha shemeji laki moja akaniahidi atanirudishia baada ya wiki. Sikuishia hapo, nili mpigia mkewake simu nikimuazima laki moja nimrudishie baada ya wiki, bila tatizo, akanipatia.

They are very happy family!!!!!!!
 
Hapo inaonyesha hakuna mawasiliano mazuri kati yao ama hawaekani wazi kwenye masuala ya uchumi,,Mi nazani mnapokua kwenye ndoa sanyingine mawasiliano na uwazi ni jambo la uhimu.
 
bado sijakupata mkuu....come again plz.
 
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi moja. Wiki iliyo pita shemeji alinikopa laki! nikaahidi kumpatia jioni, kwakuwa mke wake yupo maternity live, naye kwa bahati alinipigia simu akiniomba nimuangalizie balance kwenye account yake, nilishikwa na butwaa kuona salio la ukweli. Nikajua hapa kuna tatizo.

Nilimkopesha shemeji laki moja akaniahidi atanirudishia baada ya wiki
. Sikuishia hapo, nili mpigia mkewake simu nikimuazima laki moja nimrudishie baada ya wiki, bila tatizo, akanipatia.

They are very happy family!!!!!!!
Kusema kweli hii stori sijaielewa hata kidogo.
Humo kwenye red ndio imenichanganya zaidi.
 
hapa kuna thread inayojitegemea......'Je, ni vizuri mwenza kujua salio la account yako?'.....tukipata jibu la swali hili.....ndipo tutajua kwa nini hali hiyo ikajitokeza.......
 
Hapo inaonyesha hakuna mawasiliano mazuri kati yao ama hawaekani wazi kwenye masuala ya uchumi,,Mi nazani mnapokua kwenye ndoa sanyingine mawasiliano na uwazi ni jambo la uhimu.

umeelewa au umechangia tu mkuu .
 
Kusema kweli hii stori sijaielewa hata kidogo.
Humo kwenye red ndio imenichanganya zaidi.
hujaelewa nini bana ni hv kuna jamaa ana mke ,mke anafanya kazi benki na huyu mleta mada. ni rafiki yao
mke wa huyo jamaa yupo maternity leave huyo jamaa akamuomba mleta mada amkopeshe laki.muda huo huo jamaaanaomba laki mkewe ambae yupo likizo akaomba kwa mleta mada aangaliziwesalio kwenye a/c kumbe mkwanja upo wa kutosha..mleta mada akaomba akopeshwe laki kwa mke wa huyo jamaa akapewa
wewe unaona nini hapo?
 
kwa hii thread wanaume wengi kwenye ndoa huwa nawaona maboya tu ...mungu nisamehe huyu ni wa tano nasikia hii issue
 
Mimi nimekusoma inamaana BIBIE YUKO LOADED kwenye ac wkt MUMEWE YUPO KWENYE OVERDRAFT!!!! LOLSET!!! Huwezi jua ukute MWANAUME ANAHONGA SANA, SASA HIYO LAKI YA NYUMBA NDOGO, AKIMWAMBIA MKEWE AMPE ITABIDI ASEME YA NINI!!! Au bidada HELA ZA NDUGU YAKE!!!! Mi nina NDUGU yangu KAOLEWA ILA AKIPATA HELA HAZINA MAELEZO ANAWEKA KWENYE ACC YANGU anakuwa anachukua kidogokidogo NA MIMI PARTNER IN CRIME NARUHUSIWA KUTUMIA KIDOGO.SASA HAPO UKUTE NIMEMUOMBA SHEMEJI YENU HALA AKAFANYA UFUKUNUKU SI ATAPATA WRONG CONCEPT KUWA NIPO LOADED???!!! MJINI MIPANGO SIO PESA!!!!LOLESH!!!!!!
 
Haya ni kati ya yasiyokuhusu, maana huwezi kujua makubaliano yao yakoje
 
hujaelewa nini bana ni hv kuna jamaa ana mke ,mke anafanya kazi benki na huyu mleta mada. ni rafiki yao
mke wa huyo jamaa yupo maternity leave huyo jamaa akamuomba mleta mada amkopeshe laki.muda huo huo jamaaanaomba laki mkewe ambae yupo likizo akaomba kwa mleta mada aangaliziwesalio kwenye a/c kumbe mkwanja upo wa kutosha..mleta mada akaomba akopeshwe laki kwa mke wa huyo jamaa akapewa
wewe unaona nini hapo?

hahahahah Smile :A S-heart-2:
 
Last edited by a moderator:
hata na wewe mama yako alimuona baba yako boya
hapana mkuu sio wote wengi..hata huku wapo wanajifanya hawana time na mshahara wa wake zao eti kama sio uboya ni nini? unataka apeleke wapi? kama sio ataishia kukudhalilisha nazo? tafuta ushirikiano
 
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi moja. Wiki iliyo pita shemeji alinikopa laki! nikaahidi kumpatia jioni, kwakuwa mke wake yupo maternity live, naye kwa bahati alinipigia simu akiniomba nimuangalizie balance kwenye account yake, nilishikwa na butwaa kuona salio la ukweli. Nikajua hapa kuna tatizo.

Nilimkopesha shemeji laki moja akaniahidi atanirudishia baada ya wiki. Sikuishia hapo, nili mpigia mkewake simu nikimuazima laki moja nimrudishie baada ya wiki, bila tatizo, akanipatia.

They are very happy family!!!!!!!

Una access na account ya mke wa mtu?? Hapo najiuliza... Kwenye RED nadhani ulikusudia kuandika LEAVE...
 
Haya ni kati ya yasiyokuhusu, maana huwezi kujua makubaliano yao yakoje

sister upo correct tena huyu mleta mada ni nyoka kabisa yeye alimkopa huyu dada pesa kupima kama hata pewa hawa ndio wale wanaoitwa mizombi hata jamaa asipojua bank statment ya wyf akuna shida ilimradi life goes on na mimba anambebesha.yeye atakufa na umbeya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom