Ndoa inaelekea kunishinda

Vipi kuhusu magonjwa?
 
Yaani hujakosea kwa mtu uliyempenda na kumwamini inauma sana, labda kama wanapotezeana muda na kusogezana siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Possibility ya kukuletea magonjwa ni kubwa, maana kama hajari afya yake hapo uko motoni.

Ukweli unauma lakini ni bora usemwe, ni bora kumuepuka kumbuka akikuletea shida au ugonjwa ni hasara yako na ndugu zako.

Wapo wanao sema, usifuatilie ukae tu duh! Yaani akuletee magonjwa halafu nini kifuate?

Chukua hatua sasa.

Remember: " Akili za kuambiwa , changanya na zako"
 
Hiyo sentensi uliyomaliza nayo ndio yenyewe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…