Ndoa inaelekea kunishinda

Sawa mkuu..tafuta sababu itakuwepo tu..sisi wanawake wakati mwingine tunashindwa pengine kuzungumza..yawezekana tusitumie maneno sahihi yakawaumiza na kuwaletea majeraha….tunaishia kukaa kimya mwisho wa siku ndo kama hivyo hajisikii kupiga game.

Kupiga au kupigwa game vizuri kunaleta furaha na kuongeza tumaini katika maisha😄😄

Lakini pia hata sisi wanawake madawa ya uzazi tunayotumia wengine huwa yanakataga stimu ya kupiga game kabisa.
 
Ukimpata mwanaume asiyechepuka basi ujue huyo ni mgonjwa! vumilia ujenge familia yako
 
Hata hivo shukuru mungu umepandishwa cheo kua mke wa ndoa,inaonekana wewe ndiyo ulikua namba moja kati yenu wanne
 
Vumilia wewe miezi sita ni mapema sana yanawezekana hata we bado hujaachana na Ex wako
 
Kwanini linakushindaga?

……hata mimi nakukubali sana E
Ni tusi la kizamani, zamani hatukuwa na haya matusi ya siku hizi! Mtu akizingua anakuwa mkuda, leo huambiwi mkuda...utaambiwa..ms***e!
 
Hebu weka picha tuone kwanza anastahili kuchepuka au hastahili tusije kuanza kumsema mtu bure tukapata dhambi.
Mambo mengine siyo ya kufanyia masihara, huyu anahitaji ushauri nasaha yuko depressed.
 
Halafu kwanini anapekuwa pekuwa simu ya mwenzake?? Yaani wanawake huwa wanavitafuta vilio kwa makusudi kabisa. Ukisikia mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake ndio hivi sasa!
Halafu aje kumuomba samahani baada ya kumpatia gonjwa fulani ambalo halina tiba?
 
aisee

Mungu akutie nguvu.
 
Ni tusi la kizamani, zamani hatukuwa na haya matusi ya siku hizi! Mtu akizingua anakuwa mkuda, leo huambiwi mkuda...utaambiwa..ms***e!
Mimi mwenyewe mbibi..usishangae tulivyobadilisha na kukata ukali🤣🤣
 
Mimi naona kwahao watatu ndoujue hana.malengo nao hebu ona anahangaika nao mchana jioni anawaacha huko anakuja kwako wewe ndomshindi wanaume wengi tunavitabia vya hivo ila wakati mwingine kipato nitatizo ushauri wangu kama anakuhudumia vizuri .kasoro zaid yahiyo vumilia muombe mungu naumuombee hiyo ndoa itakuja kuwa tamu mengine acheni yatokee ili kuruhusu hatua inayofata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…