Ndo nimetoka ofisi za TCU

Ndo nimetoka ofisi za TCU

Kumbe bora waliochaguliwa moja kwa moja chuo kimoja
 
Mimi bado sijui hata nitafanyaje sasa?[emoji134] [emoji134]
Sasa vp unarudi tena TCU au inakuaje kama unarudi tena itabidi nikuunganishe na kijana wangu muongeze nguvu ya kupeana updates
 
Mi niliwaombea watu wawili nikapata code namba moja nikaitumia ku confirm ikakubali
Jaribuni kuomba hata ya mtu mjaribu ku confirm
 
Kiongozi hili unalo lisema lina ukweli????
Yes,nime confirm SUA na ardhi kwa code namba ileile.
Niliwaombea watu wa2 nikajaza namba yangu ya simu nilipotumiwa code nikajaribu ardhi ikakubali na SUA ikakubali nikawapigia simu wakanihakikishia you have confirmed
 
Yes,nime confirm SUA na ardhi kwa code namba ileile.
Niliwaombea watu wa2 nikajaza namba yangu ya simu nilipotumiwa code nikajaribu ardhi ikakubali na SUA ikakubali nikawapigia simu wakanihakikishia you have confirmed
Duuuh, sa na mm c unitumie hzo code nijaribu mkuu maana nisha changanyikiwa hapa udsm cja comfirm bado ,, 0685253860 ndo namba zangu nipe nijaribu bahat
 
Sasa vp unarudi tena TCU au inakuaje kama unarudi tena itabidi nikuunganishe na kijana wangu muongeze nguvu ya kupeana updates
1.Niko mbali na TCU
2. TCU imeongeza muda
 
Yes,nime confirm SUA na ardhi kwa code namba ileile.
Niliwaombea watu wa2 nikajaza namba yangu ya simu nilipotumiwa code nikajaribu ardhi ikakubali na SUA ikakubali nikawapigia simu wakanihakikishia you have confirmed
duh...asee..nmejaribu hii kitu kumfanyia mtu confirmation imekubali
 
Sasa inabidi kuishtaki TCU kwa mama Ndalichako maana wanatufanya tushindwe kula kwa sababu ya TCU codes.😳
 
Mimi mpaka leo hawajanitumia codes kabisa.
Sijitii presha kabisa na mambo yao ya kuconfirm,
Maadam nimechaguliwa basi muda ukifika wa kuripoti naenda kuripoti kwenye chuo chaguo langu, washanikwaza sana hawa TCU na makodi yao yanayosubiriwa bila kufika
 
Back
Top Bottom