Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Hicho ni kibuti cha kidiplomasia
mharibifu wewe Elli.....mwaya kodabosi m'bembeleze....wasichana huwa tunapenda kubembelezwa sometimes.....inaelekea ulikaa muda mrefu hujam'bembeleza na kumuonyesha yeye ni spesheli....huwa tunatest zali....huyo hakumwagi wala nini.......
22 mkuu soon 23, jst 3rd yr stdnt:smile-big:
You still have a long way to go kaka.....ukiruhusu kuchakachuka na la huyu... hao wajao watakumaliza kabisa........ ni njia ya maisha kila mmoja almost kila mmoja anapitia so kaza but .........fall in love but take your brain with you
Mh ni mvivu kujibu sms au sms zako tu ? Sweetheart distance relationships are very difficult kwa kweli. But kama unaona huridhishwi na majibu yake hebu mwache kidogo.............. si ushaomba msamaha? saas tulia stop calling as you do now, stop sms then uone kama atashtushwa na mabadiliko hayo au la. Akishtushwa then you will have a chance to discuss your issue but if she wont.... then ulishakula kibut muda mrefu sana just that alikuwa hawezikusema..... and so it is better soon than late caz you might invest your feelingz to a place where business environment is not condusive. Best of Lucky
na yeye ana ngapi sasa!? isije ikwa bado yuko o level!!22 mkuu soon 23, jst 3rd yr stdnt:smile-big:
I just yelled at her n told her to quit (I was angry and had stresses by the moment.) bcoz she didn't show to care, she'z so lazy on answering my messages.
Tatizo letu ni kwamba yeye ni mvivu sana wa kujibu msg'z zangu n we are far apart, na ninapomuuliza anasema nachukulia mambo so lite.
yes wanawake wapo wengi sasa si akaoe mwingine anaomba ushauri wa nini, sasa wewe hapo unashauri nini maana wanawake hawatofautioani sana na kwa staili hii atamaliza mitaa kwa mitaaa, yani ushauri wako haufai ktka jamii na unaonyesha kuwa mtu hatari sana wewe.tak creWanawake ni hatari sana. Uckubal ayaharibu maisha yako. Ktk dunia hii wapo wanawake weng sana na wazuri na wenye kujuwa mapenz kuliko huyo. Just put ur thngs on prayer, work hard dy and nght ukiamini wewe ni mwanaume mzuri na baba wa watoto wazuri sana. Huku ukiamini your wife is sm where in ths world and she hv every thng 4u. Keep on faith na umuache huyo anamtu anamchanganya mwache ucjiumize. Yes u can...
na hapo ndipo atakapoambiwa amnunulie gari wakati hata basikeli hana, ataambiwa amnunulie Blackberry wakati yeye ana c25 Twanga pepeta ya enzi za mwalimu.
MPOTEZEE tena MKIKUTANA kuwa standby na pilipili tafuna huku umemtazama
Pole sana mapenzi ya mbali ni vigumu sana kuyamaintain labda kama mngekuwa ni mke na mume tayari lakini gf na bf ni ngumu kidogo. inawezekana ameshapata mwingine wa karibu yake na anamdatisha.
NB: Avatar yako inachefua mi nilikuwa napata chai kuiangalia lol