Ndo mwendo wenyewe Wakuu!!

babulakibaha

JF-Expert Member
Jun 7, 2012
287
325
IMG-20170107-WA0014.jpeg
 
Kuna post zingine unajiuliza huyu alitaka kuleta ujumbe gani kwa jamii uhuru wa namna hii hapana
 
Kwamba maisha magumu ameshasahau kula nyama...sasa ni kauzu pekee
Hilo Dagaa Kauzu unaingiza sana kuliko hizo Nyama.

Basi tu, tunalichukulia Kauzu kama ni Mlo wa hali ya chini.

Na Kauzu siku hizi Bei imesimama sana, hasa Kauzu la Kigoma
 
Hilo Dagaa Kauzu unaingiza sana kuliko hizo Nyama.

Basi tu, tunalichukulia Kauzu kama ni Mlo wa hali ya chini.

Na Kauzu siku hizi Bei imesimama sana, hasa Kauzu la Kigoma
Kweli mkuu, binafsi napenda sana kauzu
 
Kweli mkuu, binafsi napenda sana kauzu
Hunishindi Mimi.

Nikiwa Nyumbani wananijua kwa jinsi ninavyolipenda Kauzu.

Waweke Mboga zao zote pembeni wasinisahau Kauzu langu.

Kiongozi,

Kauzu, Samaki, napenda sana kuliko Nyama
 
Kwamba maisha magumu ameshasahau kula nyama...sasa ni kauzu pekee
Kama ndiyo mawazo yake hayo basi tunatofautiana. Kwangu mimi huo mlo aloweka hapo juu (especially kama hilo hapo juu ni dona au mtama) is one of the best and healthiest meals!! Labda kanakosekana tu kamchicha kidooogo na kipande cha tango.
 
Kama ndiyo mawazo yake hayo basi tunatofautiana. Kwangu mimi huo mlo aloweka hapo juu (especially kama hilo hapo juu ni dona au mtama) is one of the best and healthiest meals!! Labda kanakosekana tu kamchicha kidooogo na kipande cha tango.
Safi sana Kiongozi.

Mboga za Majani muhimu sana.

Nafikiri lengo la Kiongozi Azarel ni kutafsiri lugha ya Picha, hakuwa na nia mbaya.

Umemuelewa vibaya
 
Back
Top Bottom