Ndo mara yangu ya kwanza...!

Ndo mara yangu ya kwanza...!

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari zenu wapendwa,

zali limendondokea nimegongewa visa ya mwaka mzima kwenda kwa Obama.

Hapa nilipo niko on transit mitaa ya dubei kwa waarabu wa wese.

Sasa bana hii ndo mara yangu ya kwanza kuja huku, msinicheke ila kwenye ndege nimekunywa maji mengi mno na apple juice.

Pia nimekula msosi wote kila kitu nilichowekewa sijabakisha kitu kwenye trei.

Hapa nakusibiri kukonecti ndege kuelekea kwa Obama nikasema wacha niwashirikishe wadau wenzangu, ila msiniulize hilo zali la kwenda kwa Obama nimelipataje.

Ntakuwa huko kwa mwaka mmoja visa ikiisha narudi bongo (mission have to be accomplished looh).

Nikirudi lazima kilugha kiwe kimebadilika looh you know what am saying zitakuwa kwa wingii hehehehee ila kiyoyozi kikali hapa aiport balaa halafu nimepiga umini sasa daah wacha nikatafute stockings.

Ndo mara yangu ya kwanza hii kwenda kwa Obama, mlioko huko mtakuja kunipokea airport? msijali niko full loaded no string attached.....

See you later guys, always Kasinde!!

MORE UPDATES:

Basi bwana nikajisemea sishuki kwenye ndege hadi niache puu yangu humu, sasa ikawa haiji nikaanza kuwasumbua wale crew kuwa nataka fruit salads na any sea food maana mie tumbo langu na se food huwa halikopeshi lazima nikaripoti toilet.
Thank God nikapa puu bana nikaenda zangu toilet kwanza kachumba kenyewe kadogo daah nikashangaa shangaa pale nikatengeneza mazingira vizuri kisha nikakaa kwenye ile seat. Paratataaaa nikaachia puuh like winnie the pooh looh sasa nikamaliza nikaangalia mahali pa kuflush nikapaona nikabonyeza weeeh nusura nitoke na mlango kwa woga....hahahhaa msinicheke jamani maana kile choo kilikuwa kinaflash na speed ya ajabu na hakikuwa na maji mengi sasa sauti ya flush ndo ilinistua nikaogopa nila nilijigonga mlangoni daaah. Nashukuru nikatoka salama nikijikausha kama mwenyeji vile ila next time nshajua sipuu tena roho yaweza kutoka mie nlijua chini kumetoboka na hewa inaingia ndani kwa nguvu looh!!

Bado sijafika kwa Obama niko on the way natumia wifi internet ya kwenye ndege masaa 16 angani si mchezo daah!!!
Luv u all guys!!
 
Wacha weee....

Safari njema....

Wabeba maboksi mpokeeni huyo....

Kwa obama kukubwa ujue....wapi exacly utafika(mji)
 
aya kila la kheri
10463876_10203281168883056_3070462439305891260_n.jpg
 
Dah, kashinde leo hajapata crush, basi huko kwa Obama naona atakufa kwa presha.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa,
zali limendondokea nimegongewa visa ya mwaka mzima kwenda kwa Obama. Hapa nilipo niko on transit mitaa ya dubei kwa waarabu wa wese. Sasa bana hii ndo mara yangu ya kwanza kuja huku, msinicheke ila kwenye ndege nimekunywa maji mengi mno na apple juice. Pia nimekula msosi wote kila kitu nilichowekewa sijabakisha kitu kwenye trei. Hapa nakusibiri kukonecki ndege kuelekea kwa Obama nikasema wacha niwashirikishe wadau wenzangu, ila msiniulize hilo zali la kwenda kwa Obama nimelipataje. Ntakuwa huko kwa mwaka mmoja visa ikiisha narudi bongo (mission have to be accomplished looh). Nikirudi lazima kilugha kiwe kimebadilika looh you know what am saying zitakuwa kwa wingii hehehehee ila kiyoyozi kikali hapa aiport balaa halafu nimepiga umini sasa daah wacha nikatafute stockings.
Ndo mara yangu ya kwanza hii kwenda kwa Obama, mlioko huko mtakuja kunipokea airport? msijali niko full loaded no string attached.....
See you later guys, always Kasinde!!

Upo dubai airport gan na kwa Obama unashukia airport gan?
 
Habari zenu wapendwa,
zali limendondokea nimegongewa visa ya mwaka mzima kwenda kwa Obama. Hapa nilipo niko on transit mitaa ya dubei kwa waarabu wa wese. Sasa bana hii ndo mara yangu ya kwanza kuja huku, msinicheke ila kwenye ndege nimekunywa maji mengi mno na apple juice. Pia nimekula msosi wote kila kitu nilichowekewa sijabakisha kitu kwenye trei. Hapa nakusibiri kukonecki ndege kuelekea kwa Obama nikasema wacha niwashirikishe wadau wenzangu, ila msiniulize hilo zali la kwenda kwa Obama nimelipataje. Ntakuwa huko kwa mwaka mmoja visa ikiisha narudi bongo (mission have to be accomplished looh). Nikirudi lazima kilugha kiwe kimebadilika looh you know what am saying zitakuwa kwa wingii hehehehee ila kiyoyozi kikali hapa aiport balaa halafu nimepiga umini sasa daah wacha nikatafute stockings.
Ndo mara yangu ya kwanza hii kwenda kwa Obama, mlioko huko mtakuja kunipokea airport? msijali niko full loaded no string attached.....
See you later guys, always Kasinde!!

Mji gani unaenda tukupokee?
 
Chunga tu usipate tumbo la kuharisha on flight...utachukia safari!
 
Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!
 
Back
Top Bottom