Ndo CCM ilipofikia

Ndo CCM ilipofikia

CCM na viongozi wake wote wangetimiza hata nusu ya haya uliyoyaorodhesha humu; na hasa utawala wa sheria na kulinda haki za kila mwananchi; mwaka 2020 wasingehitaji hata kuweka kampeni nzito ya kuendelea kuwepo madarakani ili watimize hiyo nusu nyingine ya hayo uliyoorodhesha.

Kwa bahati mbaya sana CCM na viongozi wake wameamua kukandamiza haki za wengine na kutofuata taratibu na sheria , na hata Katiba ya nchi wakidhani kuwatia woga na hofu ndio njia nzuri kwao kuendelea kutawala na kupewa sifa.

CCM yenu hii inavuruga kwa maksudi kabisa umoja wetu uliowekewa misingi mizuri na waasisi wa taifa letu. Madhumuni yenu ya kufanya hivi hatuyajui kabisa! Je tukifarakana ndio mtatawala milele kama mnavyojigamba?
Mkuu umesema yote
 
Duuh kisa nini mkuu mpaka umeamua kuhama kule CCM???
Kuwalaghai watanzania,halafu wao wanajifanya wasafi,wakati juzi tu kio gozi mmoja kashikwa akikwepa kodi mchana kweupe halafu amekanusha kuwa mzigo sio wake wakati ni wake ila ni kulaghai watamzania, mwenyekiti nae anakomaaa na tuviongozi njaa,ile bombombadia tuliambiwa na Liasu kuwa ni mbovu makame mbarawa badala naye kupigwa chini akahamishiwa wizara nyingine ili mambo yabaki chini ya Carpet.
 
Hivi katiba yetu inasemaje iwapo raisi atawehukia ofisini?!!...."Eti CCM itatawala milele"..tukiyaaacha haya yaendelelee iko siku ataaamrisha vita dhidi ya mkoa wa Kagera kwa sababu jina la Mto Ngono limemuudhi sana...na Mabeyo naye atasema "ndoho tabhu guku"
 
Sasa kama m/kiti hasikliz wajumbe anatoa amri kama mwl mkuu s/m churttle dawa yake ni kuvujisha tena zile amri za king'ombe Ng'ombe ni kuzianika hakuna namna huenda itaokoa taifa
 
Sasa kama m/kiti hasikliz wajumbe anatoa amri kama mwl mkuu s/m churttle dawa yake ni kuvujisha tena zile amri za king'ombe Ng'ombe ni kuzianika hakuna namna huenda itaokoa taifa
Dawa ipo
 
Usichonganishe watu .
Siasa sio uhasama.

Tulitegemea awamu ya tano muhula huu wa kwanza kuelekea 2020 serikali iende mbele zaidi katika kupambana na wizi wa Mali za Umma, usalama wa watu na Mali zao ,kupiga vita rushwa kubwa na ndogo, kuhoji viongozi na watumishi wenye mali zisizolingana na vipato vyao, kupinga uonevu wa vyombo vya mabavu kwa wananchi, kutoa sana elimu ya kuheshimu sheria , kusimamia haki kwa wote bila kujali itikadi zao, Kuanzisha makazi na miji mipya iliyopimwa kisasa, ujenzi wa barabara za mwendo kasi (kuelekea Mbagala ,Airport na Mandela road), Kuvutia wawekezaji wa ndani kwa masharti ya kushirikiana na wale wa ndani, kuvutia wawekezaji wa viwanda vya Sementi ( ili ishuke bei kufikia 5000/-), kuvutia wawekezaji kwenye viwanda vya Chuma ili kufufua mgodi wa Chuma Liganga, Kupunguza kodi na ushuru wa bandarini kwa mizigo isiyozalishwa nchini (kama magari n.k ), kutoa mishahara ya watumishi wa umma inaolingana na uhalisia wa maisha ya mahitaji ya msingi ya binadamu, kuanzisha makambi ya JK kwa ajili ya vijana kujifunza ufundi,ujasiriamali na kilimo,kuimarisha miundo mbinu ya vijijini, kujenga mabwa ya maji kwa ajili ya mifugo na kilimo, kujenga masoko makubwa kabisa ya kimataifa ya mazao ya kilimo mipakani, kupunguza kodi kwa wafanyabiashara wadogo na kusimamia masuala ya kodi za frem ili zisiwe zinakua tofauti na zile za serikali. Kuanzisha umeme wa Makaa ya mawe,gasi, mwanga wa jua na upepo, Kutunza mazingira kwa kutumia teknolojia mbadala kama gesi , Kuzuia kabisa suala LA watumishi hewa, Kujenga dhana ya Cheo ni dhamana ili watawala na viongozi wawaheshimu wananchi wao na kuwasikiliza sio kisiasa bali kwa misingi ya sheria bila kuonea watu kwa itikadi za kisiasa, tukuze zaidi diplomasia na mataifa ya mengine duniani kwa lengo la kujitangaza kwa sifa njema ili kuvutia watalii kwa wingi zaidi hasa watalii kutoka nchi za magaharibi, kutoa mikopo ya wanafunzi wote wa vyuo vikuu, kupunguza ada za sekondari na shule za msingi lakini sio kuzifuta kabisa huku mzigo ukibakia wanapofika elimu ya juu serikali inakosa uwezo wa kutoa hata mikopo 100%, kujenga while za Msingi na sekondari za ufundi, Uhuru wa wananchi kupata habari kwani hauzuii watwala kutimiza majukumu yao, Kuimarisha muhimili wa mahakama na kuuacha uwe huru ili kila mtu atendewe haki bila upendeleo wala vitisho, kujenga demokrasia zaidi ili wananchi wapate fursa ya kuchagua viongozi wenye uwezo na nia ya kuwatumikia na kuweka maslahi binafsi pembeni bila kujali vyama, kutumia vyanzo vya maji vikubwa kama ziwa Victoria ,Tanganyika,Nyasa,Rukwa , Jipe ,na mengine kusambaza na kuwapatia maji wananchi bila kujali itikadi za vyama. Kuwatafutia maeneo rasmi wafanyabiashara wadogowadogo ili kuondoa kero ya kufanya biashara barabarani, Kulinda mipaka yetu zaidi, kudumisha kwa vitendo umoja, mshikamano na amani miongoni mwa watanzania, kudhibiti kwa vitendo aina zote za upendeleo na urafiki kwenye kazi umma na kuzuia na kudhibiti vitendo vya wizi wa mitihani, kuweka fursa za vyombo vya mawasiliano kushindana kwa haki sawa ili bila mwananchi kuumizwa n.k

Haya ndiyo watanzania na binadamu yeyote aliyeko huru tulikua tunayataka na kuyategemea sana kuwa tutayapata awamu hii ya Tano kutokana na Kamapeni za mwaka 215 na shamrashamra zilizokuwepo ikiwemo pushapu ,sio umaarufu wa mtu au Chama au kikundi cha watu.
Busara hizi nazihifadhi ,Laiti wangekuwa na nusu tu ya maono haya hakika tungesonga mbele .
 
Hivi katiba yetu inasemaje iwapo raisi atawehukia ofisini?!!...."Eti CCM itatawala milele"..tukiyaaacha haya yaendelelee iko siku ataaamrisha vita dhidi ya mkoa wa Kagera kwa sababu jina la Mto Ngono limemuudhi sana...na Mabeyo naye atasema "ndoho tabhu guku"
Du, kweli umeamua.
 
Kuna vijana wa kibongo na nafanya na CISCO SYTEME kuna vijana waliokuwa watanzania lakini hizi sheria za kingese kuhusu dual citizenship zimewaweka neutral,

Lakini wanajua CCM ili ikipiteza pumzi Dual Citizenship inatia timu chini ya uongizi wa LISSÙ hawa rutawaoanga tuone hiyo biometric inayoandali na Mkuu wa makontena hao vijana anaowapanga wafanye kama ile siku ya Lowassa lakini ombi langu ni moja JANUARY MKAMBA ni mtu muhimu sana.

Tupange mikakati ya kumpata kumpanga rukikubaliana nae hata Wizara ya fedha inamfaa.

Na waangalizi kutoka UN lazima wasimeme imara,sii wachanganywe na viwiski.

Mikoa ambayo ni ngoma yetu CHADEMA hela yao tynakula na wao tunawapunzisha.
 
CCM ilipigwa vibaya na Dogo kule Buyungu,sema washakaji tukapotezea tu,siku akifungulia Mikutano mimi binasfisi sintolala tutaanza kupanga mikakati tukishaivisha muungano wa CUF/DEMA...tunauweka sawa tukimaliza maalim Seif Anadanya Ziara Belgium Tunajua CCM inaingiza nguvu nyingi kwenye chaguzi ndogo kwa sababu huwa kuna ka utamadununi ka kingese kanakosemaga changuzi ndogo ni kipimo cha uchaguzi mkuu...kudaaaadeki tunawaacha wanaingiza mabilioni sisi tunawacheki tu uchanguzi mkuu ndio lengo na lenzi yetu nguvu zote....Lissu anatia timu anapeoerusha bendera wataamini uchaguzu mdo tulikuwa hoi......Tundu Lissu na Maalim wanàingia kitaaa vijana wetu anti hackers wakiwa tumewachimbia sehemu ambayo wataonekana kama wataliii.....tunaling'ioa gamba kwa zile randa za kizamani.
 
Back
Top Bottom