Ndo CCM ilipofikia

Ndo CCM ilipofikia

Watanzania hawajijui kiundani CCM ila siku wataijua CCM vizuri wanaweza kubeba silaha jadi tuna deni la taifa ambalo kwa kweli halikwepeki mpaka shahawa zetu zinadaiwa lakini wao familia zao zinaoshi paradiso.
Hivyo ccm iliyotengeneza hayo madeni , nyalandu hayupo umo? Lowassa? Sumaye, na ester braya je ? Si walikuwepo , sasa walipohamia chadema ndio wako kijito cha utakaso ? Huyo Lowassa hata baba wa taifa alisema hafai kuwa kiongozi , watu wakinyimwa uongozi tu , au maslahi.yao yakifinywa ndio, wanakimbilia chadema , kwani halijulikani hilo ? halafu porojo nyiingi , oh deni la taifa , oh nini na nani , hizo ni porojo za chadema , mtu mwenye nia safi kabisa ya kuijenga nchi yake , na si maslahi binafsi , basi uwepo wake uwe CCM .
 
Back
Top Bottom