Ndo CCM ilipofikia

Ndo CCM ilipofikia

Mbona hatuaminiani, kuna muda nimeweka rope hapa wakaikata mods, sitakata niirudie maana ilikuwa inahusu kikao cha dharula sehem fulani,

Wana CCM ndo mnaunda serikali kwa kupewa dhamana na Taifa na wananchi wake,

Kuna waziri mmoja anavujisha siri za baraza ilo na kina Ngurumo wamemfaidi sana kule walipo, jamani tuaminiane, tumkosoe hapo hapo kama anakosea, tumdhibiti kama anataka kuvuka mpaka lakin so vema kuvujisha siri hizo, hivo kichwa cha waziri mwingine ambaye alileta mvuto naye anaondoka soon Tuwe wakweli
Baraza linamkosa Nchemba ,Nape sasa na huyu kijana dahh

Britannica
Ona sasa na wewe unavujisha siri kuhusu huyo waziri kijana atakayenyfolewa kwenye kiota.
 
Safari hii tunawashinda tena halafu wajifanye king'ang'anizi tunawatiia aibu mbele ya waangalizi wa kimataifa,waanaachia madaraka,tuone jeuri ya huyo mkuu wa mkoa wa Dar yeye ndio inakuwa zamu yake kwenda kuishi guest house segerea.
 
Chadema tunahitaji katibu mwenezi mpya katibu mkuu yuko kamili gado niliona ile nyomi ya tarime jamani tujioangeni kwelikeli .

Hata siku wakifungua hiyo SGGR watapanda mdezi tu watu hawana hela hela zinapigwa halafu mwenyekiti anajifannya yuko serious kweli kumbe mkwara ulioungwa kwa bamia.
 
Back
Top Bottom