Ndo CCM ilipofikia

Ndo CCM ilipofikia

Haya ndiyo watanzania na binadamu yeyote aliyeko huru tulikua tunayataka na kuyategemea sana kuwa tutayapata awamu hii ya Tano kutokana na Kamapeni za mwaka 215 na shamrashamra zilizokuwepo ikiwemo pushapu ,sio umaarufu wa mtu au Chama au kikundi cha watu.

CCM na viongozi wake wote wangetimiza hata nusu ya haya uliyoyaorodhesha humu; na hasa utawala wa sheria na kulinda haki za kila mwananchi; mwaka 2020 wasingehitaji hata kuweka kampeni nzito ya kuendelea kuwepo madarakani ili watimize hiyo nusu nyingine ya hayo uliyoorodhesha.

Kwa bahati mbaya sana CCM na viongozi wake wameamua kukandamiza haki za wengine na kutofuata taratibu na sheria , na hata Katiba ya nchi wakidhani kuwatia woga na hofu ndio njia nzuri kwao kuendelea kutawala na kupewa sifa.

CCM yenu hii inavuruga kwa maksudi kabisa umoja wetu uliowekewa misingi mizuri na waasisi wa taifa letu. Madhumuni yenu ya kufanya hivi hatuyajui kabisa! Je tukifarakana ndio mtatawala milele kama mnavyojigamba?
 
Mbona hatuaminiani, kuna muda nimeweka rope hapa wakaikata mods, sitakata niirudie maana ilikuwa inahusu kikao cha dharula sehem fulani,

Wana CCM ndo mnaunda serikali kwa kupewa dhamana na Taifa na wananchi wake,

Kuna waziri mmoja anavujisha siri za baraza ilo na kina Ngurumo wamemfaidi sana kule walipo, jamani tuaminiane, tumkosoe hapo hapo kama anakosea, tumdhibiti kama anataka kuvuka mpaka lakin so vema kuvujisha siri hizo, hivo kichwa cha waziri mwingine ambaye alileta mvuto naye anaondoka soon Tuwe wakweli
Baraza linamkosa Nchemba ,Nape sasa na huyu kijana dahh

Britannica
Acha tu wadakane uchawi...
 
Mbona hatuaminiani, kuna muda nimeweka rope hapa wakaikata mods, sitakata niirudie maana ilikuwa inahusu kikao cha dharula sehem fulani,

Wana CCM ndo mnaunda serikali kwa kupewa dhamana na Taifa na wananchi wake,

Kuna waziri mmoja anavujisha siri za baraza ilo na kina Ngurumo wamemfaidi sana kule walipo, jamani tuaminiane, tumkosoe hapo hapo kama anakosea, tumdhibiti kama anataka kuvuka mpaka lakin so vema kuvujisha siri hizo, hivo kichwa cha waziri mwingine ambaye alileta mvuto naye anaondoka soon Tuwe wakweli
Baraza linamkosa Nchemba ,Nape sasa na huyu kijana dahh

Britannica

Hili ni Jungu kama yalivyo Majungu mengine!
Wewe ulijuaje kuwa anavujisha?
 
Mbona hatuaminiani, kuna muda nimeweka rope hapa wakaikata mods, sitakata niirudie maana ilikuwa inahusu kikao cha dharula sehem fulani,

Wana CCM ndo mnaunda serikali kwa kupewa dhamana na Taifa na wananchi wake,

Kuna waziri mmoja anavujisha siri za baraza ilo na kina Ngurumo wamemfaidi sana kule walipo, jamani tuaminiane, tumkosoe hapo hapo kama anakosea, tumdhibiti kama anataka kuvuka mpaka lakin so vema kuvujisha siri hizo, hivo kichwa cha waziri mwingine ambaye alileta mvuto naye anaondoka soon Tuwe wakweli
Baraza linamkosa Nchemba ,Nape sasa na huyu kijana dahh

Britannica
Haya maoni yako ungemwandikia m/kiti wa Chama
 
Mbona hatuaminiani, kuna muda nimeweka rope hapa wakaikata mods, sitakata niirudie maana ilikuwa inahusu kikao cha dharula sehem fulani,

Wana CCM ndo mnaunda serikali kwa kupewa dhamana na Taifa na wananchi wake,

Kuna waziri mmoja anavujisha siri za baraza ilo na kina Ngurumo wamemfaidi sana kule walipo, jamani tuaminiane, tumkosoe hapo hapo kama anakosea, tumdhibiti kama anataka kuvuka mpaka lakin so vema kuvujisha siri hizo, hivo kichwa cha waziri mwingine ambaye alileta mvuto naye anaondoka soon Tuwe wakweli
Baraza linamkosa Nchemba ,Nape sasa na huyu kijana dahh

Britannica
Kaka naiomba inbobo hiyo clip
 
Back
Top Bottom