Ha ha mkuu tumesoma mpaka basi nyie wapare , hamtufikii maana sisi tunakula ndizi na samakiYa wizi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ha ha mkuu tumesoma mpaka basi nyie wapare , hamtufikii maana sisi tunakula ndizi na samaki
Wezi ni wale watani wenu wa kishimundu
Linganisha minazi na ndizi![]()
![]()
![]()
Au mihogo![]()
![]()
Ila ukimkuta mhaya kilaza anakuwa kilaza kweli..
chunguza utajua ukweli japo hutaupenda, lakini ukanda wote unaotumia ndizi kama chakula kikuu upstairs wako vizuri![]()
![]()
sasa ukubwa wa IQ si ungebadili hadi staili ya maisha yaoLakini wana IQ kubwa sana