Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 228
Na toka nimeanza kufanya kazi sijawahi ajiliwa na huyo unayemtukuza.
Ukikuta unajielewa usingekuja kulialia hapaSijawahi kuwa hasara toka nimezaliwa zaidi ya kuona utumbo unaoandika huku JF na kujiona labda unajua kumbe mbumbu tu mmoja ambaye hawezi hata kufikiria.
Na ndio maana kule kwetu mbeya nyie wandali huwa tunawadharau kweli kweli.Mkuu kama kweli umeenda shule we ni hasara kwa wazazi na taifa kwa ujmla
Wandali sio wakulialiaNa ndio maana kule kwetu mbeya nyie wandali huwa tunawadharau kweli kweli.
Ukweli kabisa na makada wa kijaniAjira zinatoka kwa wanasiasa na wakuu wa wilaya
Usifananishe USA na vitu visivyo na mpangilioHata Raisi wa Marekani Donuld Trump amesitisha ajira serikalini isipokuwa kwenye majeshi, afya na serikali kuu. Mtamuelewa tu JPM