Humjui huyu mtu hata kidogo! Rejea maiti za kuokotwa beach zikiwa zimefungwa kwenye viroba! Rejea mauaji ya olasiti Arusha. Rejea issue ya tindikali Igunga! Nenda issue ya magaidi feki na mauaji ya polisi mbagala!Mimi namkubali Mwigulu hata naamini atakuja kuwa Rais wa hii nchi.
Ukiambiwa Anamika damu za watu elewa! Kayafanya yote hayo akiwa waziri tu, akipewa urais unadahani ni kitu gani kiatokea?
Ujumbe wa madame President wa wanaoutamani urais unadhani alikuwa anaambiwa Nani Kama siyo yeye?