Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Usijali Kasie. Visichana vya sasa wala! They should never bother you. Stick to the fashions that please and suit you. Kwani bibi zetu hawakupendwa na babu zetu japo walikuwa hawana make up? Tupo wanaume wengi tu we admire original beauty from God

Ooh yeah... usemacho ni kweli. After all I don't bother. ...
 
Ur right dear .. Ishi uwezavyo huwez mridhisha kila mtu
 
we Dada kama Mimi usitarajie eti nitoke unavyotaka wewee!

Niko kama nilivyo kwa kweli!

Kwanza makorokoro mengi kwenye mwili wangu hapana

Sina huo muda wa kufurahisha hadhira zote!

Halafu ukiwa mzuri,ni mzuri tu!
 
Hongera.

Kama uko hivyo haufati mkumbo kama vidada vya siku hizi unafaa.

Siku hizi wadada wanatisha sana siyo siri;

Ngozi bandia

Nywele bandia,

Kucha bandia,


Yani maisha ya siku hizi ni zaidi ya movie.
hayo mambo yamenishinda hata filter siweki

ukiniona ndo nilivyo yaani
 
just like me!
 
we Dada kama Mimi usitarajie eti nitoke unavyotaka wewee!

Niko kama nilivyo kwa kweli!

Kwanza makorokoro mengi kwenye mwili wangu hapana

Sina huo muda wa kufurahisha hadhira zote!

Halafu ukiwa mzuri,ni mzuri tu!
Sema hakyamungu...
 
Ingekuwa ni kufika bei ningeshaolewa siku mingi basi tuu nimeamua hivyo kama jinsi nilivyo niko hivyo. Na hii naisemaga sana humu ndivyo ilivyo.
Duu!!inalekea una msimamo kama mimi!!kwa hiyovsasa hatma yako ni nini mbeleni!!vipi ulishazaaga!!
 
Hongera.

Kama uko hivyo haufati mkumbo kama vidada vya siku hizi unafaa.

Siku hizi wadada wanatisha sana siyo siri;

Ngozi bandia

Nywele bandia,

Kucha bandia,


Yani maisha ya siku hizi ni zaidi ya movie.
Yaani kila kiru bandia, mwisho yeye mzima anakuwa bandia..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…