Ndivyo nilivyo .... Niko hivo....

Hongera kwa moyo wa uvumilivu
Msichana mwingine akiambiwa hajapendeza hadharani anaweza kuleta timbwili la asha ngedere

Uzuri wake umri wa kufanya timbwili hadharani ushapita kwa Kasie.
 
Sawa nakubaliana" Be yourself..! Lakini kapicha kuthibitisha haya kama kweli umependeza basii KASIE [emoji8] [emoji8]
 
cwez kuzimikia jina wakati hata sura sijaiona..na kwa mbwembwe zako, ww utakua boga tu c bure

Umejuaje... boga lilivyo zuri hivyo hehehehe kwa kizungu si ndo wanaita pumpkin or butter squash....? Heheheh maskini hata hujui kufananisha vizuri na vibaya looh hahahaha.
 
Hehehehe wenyewe wanasema shkamoo jazz band na mie naitikia woyooo basi ivyo ivyo tunasonga hahahah
Pole sana, ndio maisha. Utakuta wala hawana kitu cha maana ktk maisha watakachokuzidi, Wanaotoa maneno kama hayo pia wengi wao ni MAGORIKIPA huko makwao/wanasubiria kudaka tu
 

Excuses aren't my thing, left those to Mourinho.

And the only time I make a lady cry, it's outta joy. If you know whata mean.

Right back atcha with that love.
 
Sawa nakubaliana" Be yourself..! Lakini kapicha kuthibitisha haya kama kweli umependeza basii KASIE [emoji8] [emoji8]

Kama huamini nisemacho hata nikikwambia huyu ndo Kasie hutoamini, ukweli ndo huo.
Halafu naomba nikurekebishe.... kuwa asilia au kutokwenda na mitindo ya wakati haimaanishi kuwa ni mrembo au ni mzuri kupitiliza. Bali ni kuwa niko hivyo haka kama sura ikiwa kama marehemu Remmy Ongala. (May his soul rest in peace) nimetumia jina lake kwasababu wengi walimtumia kama mfano wa sura mbaya hata yeye mwenyewe.

Hivyo tofautisha uzuri na kuwa asili.
 
Pole sana, ndio maisha. Utakuta wala hawana kitu cha maana ktk maisha watakachokuzidi, Wanaotoa maneno kama hayo pia wengi wao ni MAGORIKIPA huko makwao/wanasubiria kudaka tu

Aaah mie nawapotezeaga tuu.....
 
Hapana sijaolewa ila pia nimeshavuka umri wa kuolewa kwa maana mie sasa ni mama wa makamo au mtu mzima. Wapo wadada bado ambao wanasifa kama uzihitajizo, nikutakie heri endelea kutafuta maana atafutaye hachoki akichoka keshapata.
Sidhani kama nitachoka kutafuta!!vipi mbona wewe umekata tamaa hivyo kwani mtu akifika bei huitaji??
 
Hongera.

Kama uko hivyo haufati mkumbo kama vidada vya siku hizi unafaa.

Siku hizi wadada wanatisha sana siyo siri;

Ngozi bandia

Nywele bandia,

Kucha bandia,


Yani maisha ya siku hizi ni zaidi ya movie.
Umesahau na tako bandia
 
Mbona kama vile umepanic KASIE nimesema uko sawa ila nikaomba ulete kapicha ili tuprove kama kweli uko kiasili au u hv some modernities, sasa umeenda mbali mara mzuri au mbaya labda tambua issue ya uzuri ni relative unaye muona mbaya mwingine anamwona kisu..!

Mie humu kuna wadada hawalali na hawali ingawa nami kuna mdada ananirukish.a kichurachura..!
 
nitashangaa kama utakasirishwa na comment za watoto wa sekondari.

Najua wanafanya uchokozi wa kukera nawapotezea japo saa ingine wanaudhi na huwa napeperusha mbawa tuu na kuwaachia manyoya
 
Sidhani kama nitachoka kutafuta!!vipi mbona wewe umekata tamaa hivyo kwani mtu akifika bei huitaji??

Ingekuwa ni kufika bei ningeshaolewa siku mingi basi tuu nimeamua hivyo kama jinsi nilivyo niko hivyo. Na hii naisemaga sana humu ndivyo ilivyo.
 

Hahahahahaa shida ya Kasie kuongea sana na kuweka muhtahsari siwezi.

Picha angalia avatar ikuze kisha iangalie kwa umakini huyo ndo Kasie.
 
Hahahahahaa shida ya Kasie kuongea sana na kuweka muhtahsari siwezi.

Picha angalia avatar ikuze kisha iangalie kwa umakini huyo ndo Kasie.
Mbona umenyoa manyusi sasa[emoji23] [emoji23] afu kama ndiyo wewe fanya uzae aisei umri umekutupa mkono si muda utaanza kutuma watoto wa wenzio..! Saida kaloli..! Kaisikii iweee deba wazea, ....wange o'takutuma kasikiwe o'wawe o'kanaga (wewe binti umezeeka... mtoto wangu usitume wakwako mimba ulitupa). [emoji41] [emoji41] kasie ujue Mungu anakuona eti hutaki kuolewa.
 
Usijali Kasie. Visichana vya sasa wala! They should never bother you. Stick to the fashions that please and suit you. Kwani bibi zetu hawakupendwa na babu zetu japo walikuwa hawana make up? Tupo wanaume wengi tu we admire original beauty from God
 
Mambo mengine huwa napuuzia tuu sio kila kitu ni cha kujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…