Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Bado kuna vingine hajampatia!kama ni hivyo anasubiri nini kukuhalalisha?
Bado kuna vingine hajampatia!kama ni hivyo anasubiri nini kukuhalalisha?
Mimi hutaki kuniona tena?Da Sophy............... natamani nikuone maana vituko vyako vya mwaka!
Bado kuna vingine hajampatia!
da sophy kaja na mimba anafikiri hapo ndio kamaliza! ningekua mi ye namwambia amwache mkewe anioe ndio mimba
Hapa umenena FL1, hakuna sababu ya kuwa kama Marekani kwenye ndoa za wengine,Hata siku moja sitafungua mdomo wangu kuisemea ndoa ya mtu na deal na yangutu haya mambo Hayasemewi hata kidogo..