LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,515
- 3,928
Wanaoharibu mchakato ni UKAWA ambao wametoka nje ya Bunge
Miafrika bwana tabu tupu! Yaani badala ya kufikiria na kujadili namna serikali tatu zitavyopata vyanzo vyake vya mapato yanajikita kutishia watu eti jeshi litapindua serikali! Mbona marekani haijapinduliwa? Mbona india haijapinduliwa n.k! Huyu rais wetu naye sometimes nashindwa kuamini kama huwa anaongea ya kwake au naye amelishwa tu na matepeli wa kisiasa! Kumbuka jeshi ni taasisi na jeshi kufikia kuchukua nchi eti kwa sababu serikali imekosa hela ya kulipa mishahara basi taasisi nyingine zote zitakuwa zimeshazirai kiuchumi. Jeshi ndiyo priority namba moja kwa nchi yoyote ile hapa duniani! iwe ni nchi maskini au tajiri!