Ndimara: Kikwete, mmechelewa kuliita Jeshi

Ndimara: Kikwete, mmechelewa kuliita Jeshi

na jeshi likichukua madaraka na kumtia kizuizini kikwete mwenyewe? au hajalifikiria hilo?

Mimi huwa wanani shangaza sana CCM, sijui kwanini huwa wanajitia VIPOFU kwa matukio mengine yanayotokea sehemu nyingine duniani. Jeshi likipindua nchi viongozi wote wakubwa wa serikali including RAIS huwekwa kizuizini na mara nyingine huuwawa na jeshi unless wakimbie nchi. Nashangaa sana CCM ambao ndiyo watakuwa waathirika wakubwa wa coup de'tat wanashabikia Jeshi kuchukua nchi. CDM na upinzani watakachopteza ni kuzuiwa kufanya siasa.
 
ulimi uumba,ulimi uangamiza,uchoma,na pia upinduapindua fikira za watu kama fikira za wasomi wetu zilivyopinduliwapinduliwa! Mungu hafiji unafiki kama matamshi hayo yanaunafiki ndani yake basi uumbukaji wao u njiani.
 
Babu ndemara hizi siasa awaachie wenye nguvu,ataongeza kasi ya kuzeeka bure.
 
Lakini, si unafahamu kuwa Kikweye mwenyewe ni mwanajeshi?
Msidhani kiwa kauli hizo jo za bahati mbaya au vitisho bisivyo na mashiko. Jaribuni kuunganisha nukta mtaona mstari unaelekea wapi

Kikwete hakuwa mwanajeshi silaha, alikuwa mwanajeshi siasa, miiko mingi ya kijeshi ilimpiga chenga, tafuta historia yake akiwa jeshini monduli na madudu alofanya na nini kilimkuta. Hapi hakuna kuunganisha nukta wala nini, hata maafisa wa ngazi za juu jeshini walishangazwa na maneno yake.
 
Haya maelezo Ndimala ameyatoa wapi? Kwamba ikiwa serikali tatu jeshi litachukua nchi?
Ni vizuri kuisikiliza vyema ile hotuba ili kuzuia upotoshaji. Alichokisema (na ambacho Walioba alikisemapia) ni kwamba Serikali ya Muungano (shirikisho) itasimamia majeshi, polisi usalama wa taifa na wizara zile za muungano. Budget ya shirikisho itatokana na michango kutoka nchi washirika.

Ndiyo maana JK akasema -ikiwa washirika wakikataa kutoa mchango ndiyo itakuwa mwisho wa shirikisho (mf.URUSI/RUSSIA) na pia kutokana na hilo hayo majeshi yanaweza ku take advantage.

Kwanza huba akili, unajua maana ya ku take advantage? labda nikusaidie, tafsiri yake ni kuwa majeshi yamekuwa yakitamani kutwaa madaraka lakini yanashindwa, sasa ndo hapo šanca take advantage kutumia upenyo huo.

Kama muungano ni wa hiari kwa nini washirika wakatae kuchangia gharama, na kama hawataki kwa nini kulamisha muungano?

Naomba maelezo.
 
Mimi huwa wanani shangaza sana CCM, sijui kwanini huwa wanajitia VIPOFU kwa matukio mengine yanayotokea sehemu nyingine duniani. Jeshi likipindua nchi viongozi wote wakubwa wa serikali including RAIS huwekwa kizuizini na mara nyingine huuwawa na jeshi unless wakimbie nchi. Nashangaa sana CCM ambao ndiyo watakuwa waathirika wakubwa wa coup de'tat wanashabikia Jeshi kuchukua nchi. CDM na upinzani watakachopteza ni kuzuiwa kufanya siasa.
Kwa mtazamo wangu,kama tungekuwa na jeshi makini lilitakiwa liwe limeshachukua nchi hii zamani sana maana ufisadi na uovu unaofanywa na watawala wetu hauvumiliki.But message received sasa tunafahamu kuwa jeshi letu ni jeshi mishahara si jeshi la wananchi wa Tanzania kama tulivyokua kujijua before.
 
Uzuri ni kwamba watu huwa na
uhuru wa kutoa maoni yake hata kama kaongea ubwabwa nayo ni maoni
yake.

Bora ubwabwa kuliko pumba, kama unajiamini ingia na jina lako halisi na umpinge Ndimara kwa hoja.
 
Waambie Ndimara, tusipopata watu wa kuwaambia hata mawe yatawaambia ukweli
 
Mimi huwa wanani shangaza sana CCM, sijui kwanini huwa wanajitia VIPOFU kwa matukio mengine yanayotokea sehemu nyingine duniani. Jeshi likipindua nchi viongozi wote wakubwa wa serikali including RAIS huwekwa kizuizini na mara nyingine huuwawa na jeshi unless wakimbie nchi. Nashangaa sana CCM ambao ndiyo watakuwa waathirika wakubwa wa coup de'tat wanashabikia Jeshi kuchukua nchi. CDM na upinzani watakachopteza ni kuzuiwa kufanya siasa.

ndiyo maana kila siku nawaambia inabidi mtu awe mnafiki, mzandiki, mwongo mwongo na mzushi kuwa mwanaccm!
 
Kikwete hakuwa mwanajeshi silaha, alikuwa mwanajeshi siasa, miiko mingi ya kijeshi ilimpiga chenga, tafuta historia yake akiwa jeshini monduli na madudu alofanya na nini kilimkuta. Hapi hakuna kuunganisha nukta wala nini, hata maafisa wa ngazi za juu jeshini walishangazwa na maneno yake.

alikuwa kwenye kikundi cha kwaya kama capt. john komba! tehe tehe tehe!
 
Hakika umenena mzee Ndimara Mungu akupe heri . lakini hasikii ndio maana watatoka madarakani bila kujua

Yaani kipindi hiki nafurahia kweli moyo wangu. Maana mwaka jana nilikuwa mfuasi wa CDM na upinzani na uanaharakati, ila sasa niko ndani ya CCM CCM!! Sasa nikimuona mtu anashindana na dola namshangaa kweli kweli. Unajua JK ni mtu makini sana, na anaijua hii nchi sana hivyo nyie pigeni tu kelele, Tanzania daima itakuwepo!!
 
Kwanza huba akili, unajua maana ya ku take advantage? labda nikusaidie, tafsiri yake ni kuwa majeshi yamekuwa yakitamani kutwaa madaraka lakini yanashindwa, sasa ndo hapo šanca take advantage kutumia upenyo huo. Kama muungano ni wa hiari kwa nini washirika wakatae kuchangia gharama, na kama hawataki kwa nini kulamisha muungano? Naomba maelezo.
Kutaka au kutoutak ni option ya walio haki ktk hii nchi,
 
Yaani kipindi hiki nafurahia kweli moyo wangu. Maana mwaka jana nilikuwa mfuasi wa CDM na upinzani na uanaharakati, ila sasa niko ndani ya CCM CCM!! Sasa nikimuona mtu anashindana na dola namshangaa kweli kweli. Unajua JK ni mtu makini sana, na anaijua hii nchi sana hivyo nyie pigeni tu kelele, Tanzania daima itakuwepo!!

wewe hujaingia ccm, umeingizwa ccm.
athari za kuingizwa zimeanza kujidhihirisha bayana.

unabana sauti, mwendo wako umekuwa wa kilimbwende, unatamani kuvaa undersket.
 
Hivi tujiulize, huyu balozi Ali Karume ni nani haswa katika nchi hii? Huyu mtu kwanza nina mashaka naye hata anapo ongea anaonekana hajuwi anaongelea nini bali ni kufuata mustakabali wa Kinana na porojo anazo zijuwa yeye kichwani. Kama kweli ana akili za maana za kuhamasisha watu kwa nini asipewe wizara tuone uongozi wake?
 
Ndimala we ni kibaka huna hadhi ya kusimama na watu kama JK
Umesoma na kuelewa hoja zake lakini? Nakushauri utulie usome alichokiandika ma uchangie hoja na siyo kumtukana mzee wa watu. Moja ya sifa za vibaka ni kutukana watu hovyo hivyo inawezekana hoja unazozitoa zikatueleza wewe ni mtu wa aina gani.
 
Back
Top Bottom