WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Shikamoo Dady? umeamka salama leo.Nakumisi sana yani.
Mtumishi heri ya mwaka mpya
Shikamoo Dady? umeamka salama leo.Nakumisi sana yani.
MFALME WA AMANIasee zayoni doota na asprin hapo juu MNATUHARIBIA MUVU YA HII SREDI YETU PENDWA
Mi sikumbuki hiyo ila nakumbuka LMM - Last Minutes Method!
hapo kwenye bold, nahisi kama unanionea gere...
Hahahahahhahahahaaaa.Nimekuwa siku hizi mjukuuu wangu,sina wivu.Ni kwa ajili ya Hisani ya watu wa Marekani-navunja ukimya.The POWER of LOVE AND JEALOUSY !!!!
Mie nilikuwa nasema tu kwa kuwa nyie wajukuu siku hizi mpo fasta sana.Labda ni gulobolaizesheni imewaharibu.Zion kivipi tena jamani. Busara za babu tu hakuna lingine
Mtumishi ubarikiwe sana na Bwana.sikuoni mlimani lakn.Kulikoni? Nani anakuchelewesha?Mtumishi heri ya mwaka mpya
Shikamoo Dady? umeamka salama leo.Nakumisi sana yani.
Ulikuwa unavumilia tuuu........husemi kitu........sasa unasema ..........babe come this way.Hahahahahhahahahaaaa.Nimekuwa siku hizi mjukuuu wangu,sina wivu.Ni kwa ajili ya Hisani ya watu wa Marekani-navunja ukimya.
Nimekubali, kweli we babu yao, una kumbukumbu wewe.
Kwa suala la kukuonea gere kiongozi haiwezekani kabisa, masafa yako mi siyawezi kabisa, nilikuwa siamini kwamba "babu" mwenda pole ndiye hupendwa na wajukuu wengi lakinii sasa nimekubali.
Najua haunaga mawivu kivile unaweza kunigaia mjukuu mmoja, au unasemaje?
hehehehe!hata hivyo you and i need a talkmfalme wa amani
halafu wewe baba jiftiii wewe!!!?? Ngoja kwanza niwahi kikao cha uwt-ccm,tutaonana badae.
Marhaba mwanangu mpenzi, hujambo mtoto mzuri.
Tumekumisi sana nasi pia, ila uwe mwangalifu na babu Asprin, naona anataka kukuzoea, na mimi siwezi kukubali babu alete madhara kwa familia yangu.
Ulikuwa unavumilia tuuu........husemi kitu........sasa unasema ..........babe come this way.
I am going there right now! Umenionea Lizzy somewhere hapo ilboru??unahitajika kule kwa wanawake wanavyopendwa
Ntakutafuta usijali.Najua nina nadeni mengi kwako........hehehehe!hata hivyo you and i need a talk
unahitajika kule kwa wanawake wanavyopendwa
oooooo Asprin wangu:frusty::frusty:
:A S 39:oooooo Asprin wangu:frusty::frusty:
:A S 39:My love, where have you been? You are always there when I need you the most:smile-big: