Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Thx Damie. Hata mie nilijiunga JF kutokana na Busara za Babu Asprin
Huyu ana busara gani? Kukagua ze needs ndo busara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thx Damie. Hata mie nilijiunga JF kutokana na Busara za Babu Asprin
Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
Jaribu kumcheck PM akague kabisa
Eagerly waiting. Karibu.Usijali nitakuPM kwa suala la urafiki, wivu kawaida ndo tushindwe kuwa marafiki bana. Sio pumba babu brain iliyotulia hiyo.
Hahahaha...niambie rafiki yangu wa masenksi. Mpaka sasa nashikilia kombe la SENKSI FROM DESIDII!Hongera leo naona umeambiwa ukweli. Una busara sana hilo halina ubishi
Huyu ana busara gani? Kukagua ze needs ndo busara?
Nimegundua kosa...Kumbeeee!:shocked:Tatizo PJ unakaribisha na "busara" zako za Mkono mtupu haulambwi......
Wenzako tunakaribisha kwa bakuli la maneno matamu yenye mahaba ya kibabu..........
Eagerly waiting. Karibu.
Hahahaha...niambie rafiki yangu wa masenksi. Mpaka sasa nashikilia kombe la SENKSI FROM DESIDII!
Sasa mpwa unaanza kuharibu, unaondoa gari kwa gia namba tatu? Wengine tunaendesha magari ya auto.
Huoni navyokupa heshima kwa busara zako?? Kuwa first wa kupata thanks yangu na iko peke yake
Acha wivu
Asprin huyu huyu ninayemfahamu ooh swirry no! u can't be serious (me too naungana na wewe Damie Asprin nimekuzimia )
Nimesoma hapo tu. Wenye wivu na wapate minyoo ya kitimoto kwenye miguu yao.....minyoo na ianze na Fidel80.
Acha wivu
Huyu ana busara gani? Kukagua ze needs ndo busara?
Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol
Ahsante my love loveness love.
Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!