Ndevu nyeupe


Wee ni KE au ME?

Niggas dont cease to amaze me!
 
Weka rangi. Siku ukitaka kutoa rangi unatumia bleach
Rangi za ku dye hazikai zaidi ya week mpaka week2 bora a bleach moja kwa moja rangi nyingi za nywele huku hakuna labda u mix kama uko vizuri kwenye ku mix bleach colors kwa matokeo uyatakayo
 
Paka rangi hata ya gari mkuu. (joke) subiri ufike hata Fifty hivi ndo unaweza kuziona, na ninasikia kunyoa kutumia magic inaziharakisha
Hahaha naona huu ndio ushauri mzurii inabidi niwe nanyolea ndevu kwamagic ili ziwahi kutoka
 
Nilisikia hizo ndevu nyeupe ni fashion za matajiri sijui ni kweli.
 


Jiingize kwenye matatizo usiyoyaweza, utachanganya akili zako kisha na kuota ndevu nyeupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…