Ngulyagwene
New Member
- Jul 25, 2011
- 4
- 1
Huyo Ndesa asikigeuze Chadema kuwa chama cha ukoo wake kwa kutumia hivyo vijisenti vyake.Huyo ni mzee aondoke aziachie damu changa huo Ubunge
Kwani Gaddafi alikuwa hawaletei maendeleo wa Libya?Nenda Mosh; pale mj;o utajua kuwa Ndesa wanampenda sana kwasababu anawaletea maendeleo ya kwel;
gadafi alikuwa hachaguliwi kwa demokrasia lakini ndesa anachaguliwa kidemokrasiaKwani Gaddafi alikuwa hawaletei maendeleo wa Libya?
Maendeleo ya kuletewa yanafananaje?Hivi unafikiri wachaga hawana akili kama mlivyo wao wanaangalia anayewajali na kuwaletea maendeleo nyie bakini na ukabila wenu tu.
Ya magamba yamewashinda mmerukia nyumba ya pili bila hata hodi -- magambas kwa unafiki.Huyo Ndesa asikigeuze Chadema kuwa chama cha ukoo wake kwa kutumia hivyo vijisenti vyake.Huyo ni mzee aondoke aziachie damu changa huo Ubunge
Nenda Moshı pale mjını ndıo utajua kuwa Ndesa wanampenda sana kwasababu anawaletea maendeleo ya kwelı