Ndesamburo, Owenya wapeta Moshi

Nilimuuliza Mh Zitto juu ya mpangilio huu wa uongozi ndani ya CHADEMA na ambao wameuhamishia BUNGENI pia. Hakunijibu. Labda bado anatafakari. Wangeacha CHADEMA ikakua na kuimarika kwanza kwa WATANZANIA wote kama ilivyo CCM. Sababu moja kubwa ambayo mimi naiona ambayo inachangia mpangilio huu wa kifamilia ni kutoaminiana miongoni mwao wakubwa wa CHADEMA. Kila mkubwa anajitahidi kuwa na "mtu wake wa karibu" katika kila ngazi ya vikao na maamuzi.

Wildcard,
Wanasema Volcano huwa haitokei ghafla vile tunavyoamini, bali huanza pole pole sana. Kwanza ardhi sehemu hiyo huanza kupata joto kidogo kidogo kisha joto kubwa hatimaye erruption hutokea.

Wilcard, naona na wewe umeanza kutoa joto kidogo kidogo muda sio mrefu uta errupt na kuwa volcano...........connecting the dots............
 
Kuna haja ya kuhakikisha katiba mpya inatoa uhuru kwa watu binafsi kujitokeza ama mmoja mmoja au kwa vikundi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa nje ya huu utaratibu wa sasa ambao unamlazimisha kila mtu kujiunga na magenge ya watu wanaojiita vyama vya siasa ili kupata uongozi. Huu utaratibu unatoa mwanya kwa watu wachache kuhodhi uamuzi wa nani anaweza kupata nafasi za uongozi na mara nyingi "charity begins at home".
 
chagga stand up.... ha ha ha..magwanda na nurse wao slaa wana taabu kwelikweli... bado hawara wa slaa anaesema mke wake kupewa viti maalum chadema...padri matata yule....
 
Sema Ndesamburo na Familia yake waendelea kuitafuna CDM, wakati mwingine tukisema CDM ni chama cha Wachagga tunaonekana tuna chuki na Wachagga.
Ebu angalia sasa Ndesamburo na binti yake eti wamekosa wapinzani si vichekesho hivyo? si mseme watu wengine ni marufuku kugombea.
Kuna tofauti gani Ndesamburo na Gaddafi ki utawala

Umemsahau Nape, Mwinyi na Malima, Makongoro NK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom