Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,512
- 272,193
ubunge si kama kufyatua matofali au kunyanyua vyuma .Yule dingi amechoka mno
ubunge si kama kufyatua matofali au kunyanyua vyuma .Yule dingi amechoka mno
Eee bhana kwa jibu murua kama hili huyu Mussa lan akirudi tena ntajua kachanjia .Tumeiga wapi CCM?Ndesa amechaguliwa kidemokrasia.Kingunge aliteuliwa kifisadi na Mwenyekiti wa CCM Taifa
Ndio mheshimiwa bwana SAID YAKUB suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa mataifa yetu machanga ya kiafrika,kuna mengi sana nchiinawezakufaidika kama zoezi hili litafanyika.
Tunawezajifunza sana kutoka INdia na Pakistani ambao wenzetu walianza zamani sana mambo haya na kuna programs nyingi sana zilijitokjeza ambazo zimeleta faida kubwa sana katika nchi hizo.
General ZIA ULhAQ alifaulu sana kwa kutrumia pkis wanaokaa nje ya nchi ambao walileta mafanikio makubwa sana ya kiuchumi nchi humo, na sisi kama kweli serikali italitupia macho suala hilo basi tunawezakufaidika sana. Angalia suala la wataalam wa nje ,wemgine hawana elimu kama resumes zao zinavyojieleza na wapo hapa kutunyang'anya pesa zetu ambazo sisi wenyewe tunaweza tukawa na uwezo kama wao au zaidi ya o kma wananchi
peace!!!
Na Mugabe huyo huyo Amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Marais wa Afrika kwa kupigiwa Kura na akina Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Chama chako CCM.Unasemaje hapo?
Unamtetea sana ndesamburo ili akusaidie kumuondoa Selasini rombo
Unavyotetea mavisadi ulikatiwa?
Ndesamburo ni mzee mpaka amepoteza kumbukumbu
Tehe tehe tehe yale makuwadi wa mafisadi waliotangaza nia sasa hutawasikia! damn it!!Chama cha majambazi!!anataka afie bungeni? mbona kunavijana wengi tu kama albart msando na wengine! jamani ubunge sio uchifu.
anataka afie bungeni? mbona kunavijana wengi tu kama albart msando na wengine! jamani ubunge sio uchifu.
Yule dingi amechoka mno
anataka afie bungeni? mbona kunavijana wengi tu kama albart msando na wengine! jamani ubunge sio uchifu.
Tena sasa ana mpango wa kugombea tena.Wananchi ndio waamuzi wa Mwisho