Ndesamburo kugombea tena Moshi Mjini

Ndesamburo kugombea tena Moshi Mjini

Hata akipumzika kweli wapo vijana wa kutetea jimbo,apumzike vizuri bila wasiwasi kabisa.
 
Ndio mheshimiwa bwana SAID YAKUB suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa mataifa yetu machanga ya kiafrika,kuna mengi sana nchiinawezakufaidika kama zoezi hili litafanyika.

Tunawezajifunza sana kutoka INdia na Pakistani ambao wenzetu walianza zamani sana mambo haya na kuna programs nyingi sana zilijitokjeza ambazo zimeleta faida kubwa sana katika nchi hizo.

General ZIA ULhAQ alifaulu sana kwa kutrumia pkis wanaokaa nje ya nchi ambao walileta mafanikio makubwa sana ya kiuchumi nchi humo, na sisi kama kweli serikali italitupia macho suala hilo basi tunawezakufaidika sana. Angalia suala la wataalam wa nje ,wemgine hawana elimu kama resumes zao zinavyojieleza na wapo hapa kutunyang'anya pesa zetu ambazo sisi wenyewe tunaweza tukawa na uwezo kama wao au zaidi ya o kma wananchi

peace!!!


.......
 
Na Mugabe huyo huyo Amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Marais wa Afrika kwa kupigiwa Kura na akina Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Chama chako CCM.Unasemaje hapo?

Unamtetea sana ndesamburo ili akusaidie kumuondoa Selasini rombo
 
anataka afie bungeni? mbona kunavijana wengi tu kama albart msando na wengine! jamani ubunge sio uchifu.
Tehe tehe tehe yale makuwadi wa mafisadi waliotangaza nia sasa hutawasikia! damn it!!Chama cha majambazi!!
 
anataka afie bungeni? mbona kunavijana wengi tu kama albart msando na wengine! jamani ubunge sio uchifu.

Tena sasa ana mpango wa kugombea tena.Wananchi ndio waamuzi wa Mwisho
 
nilifikiri ungalisema ndesamburo ana njaa ya posho ya ubunge kumbe uzee. Sasa wewe kijana account yako ina kiasi gani kabla hujaboneza key za computer ama simu yako
 
Nyie mnaotumia fedha kununua ubunge nendeni mkawekeze moshi mjini muone white elephant mzee kawaita mkapambane kasema mpunga upo pelekeni escrow ipambane na fedha clean. Moshi sio Kilindi
 
Back
Top Bottom