mchwa mpaka
Member
- Nov 18, 2009
- 35
- 70
Mbunge wa Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo ameamua kupeleka hoja binafsi katika Bunge la Bajeti baada ya Polisi kuwakingia kifua wafanyabiashara matajiri wanne wa Jiji la Mwanza wanaotuhumiwa kumuua kikatili kijana mmoja aitwaye James Massawe.
Inadaiwa baadhi ya Polisi katika ofisi ya RCO Kilimanjaro walikula mlungula ili kuvuruga upelelezi wa kesi hiyo. Naambatanisha PRESS RELEASE ya Ndesamburo ili mjisomee wenyewe kashfa hii nzito ndani ya Jeshi letu la Polisi.
Inadaiwa baadhi ya Polisi katika ofisi ya RCO Kilimanjaro walikula mlungula ili kuvuruga upelelezi wa kesi hiyo. Naambatanisha PRESS RELEASE ya Ndesamburo ili mjisomee wenyewe kashfa hii nzito ndani ya Jeshi letu la Polisi.