kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
Zote hizo ni nidhamu kijana yupo benchi mda wote na bado anamoyo wa kupambana hana shida na mtu na ukiona imekuuma sana kamuibie umpe unaye mtaka wewe...zawadi imetoka roho inakuuma ... Zawadi haupangiwi wa kumpa ni yeyote unayejisikiakucheza kwa "nidhamu" ni kucheza namna gani: kutopewa kadi? kutokuzozana na refa? kutokupoteza pasi? kukubali kuingizwa dakika za mwisho bila kukasirika? au kufanya nini ndio kucheza kwa nidhamu? acheni hizo!!