Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

anatutishia.Ila akumbuke hatutishiki na siku tukiamua kuingia msituni hakuna wa kutuzuia.


jana kajua aliharisha mharo so anajua kwamba watu hawakumwelewa na hawatamwelewa........ ni mtu gani huwa hotuba zake zile zile? nawapongeza haswa wanaomsiliza mimi huwa siwezi maana hata sauti yake kwangu nahisi ni laana kabisa.............
 
Mmesahau alishawahi kuanzisha mazoezi ya maaskari kabla ya UKUTA? Motive ni ileile,
 
Hazijulikani hizo ndege.hata wao hawajui kama zinapita.in short ni zile zisizojulikana
 
Mkuu mbona mambo mengine hayajakaa kisiasa?!usikute hao jamaa wanazipasha moto tu coz vita hakuna na zikikaa bila kupashwa moto zitakufa halafu itakuwa hasara,kama gari tu!!
Mkuu utoto unawasumbua.......
 
Back
Top Bottom