Jamani wandugu,
Toka juzi hapa ofisini kwangu ndege za kijeshi za Luteni Jenerali Shimbo zinapita angani kwa kasi. Je, zina uhusiano wowote na matokeo ya uchaguzi? Je, zinataka kuthibitisha kuwa jeshi liko makini?
Nimeongea na watu wa TISS kujua kama kulikuwa na scheduled military exercises (ingawa JWTZ hutoa taarifa kwetu wanausalama) lakini nao pia wanasema hawajui.
Poleni< ni bora kuwa mpole!
Jamani wandugu,
Toka juzi hapa ofisini kwangu ndege za kijeshi za Luteni Jenerali Shimbo zinapita angani kwa kasi. Je, zina uhusiano wowote na matokeo ya uchaguzi? Je, zinataka kuthibitisha kuwa jeshi liko makini?
Nimeongea na watu wa TISS kujua kama kulikuwa na scheduled military exercises (ingawa JWTZ hutoa taarifa kwetu wanausalama) lakini nao pia wanasema hawajui.
I am looking for contacts in the Military Inteligence na nitawapa updates.
Vitisho tu! Wanajaribu kuwapa watu jambajamba lakini wanaotishika ni wao wenyewe wakiogopa umati usije toka barabarani kupinga matokeo.