Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,804
Wewe unafanya kazi hapo airport yani hata kuandika ni shida? Au nyie ndo watoto wa bamdogo , shule failure afu unakuwa manager, dah jifunze kuandika unatia aibu mfanyakazi wa uwanja wa ndege kuandika kama mtoto wa darasa la kwanza
ww utakuwa ni mgeni wa hapa jf Pdidy ni raia wa china kaja kujifunza kiswahili tz kwa sis tumeshamzoea
Last edited by a moderator: