Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,892
Katika muendelezo wa ku cxd ndege mara kwa maraa
sasa zoezi hili limehamia fastjet ambapo hivi punde abiria wameanza kuhangaika huku na kule kutafuta njia mbadala kuelekea makwao
hata hivyo ilikuwa ni announcement ya maana pale walipoambiwa ndege itandoka saa moja na dk 20 kwa wale wenye
kuendelea kusubiri tunaomba wanifwate kuelekea kupata chakula cha mchana na kwa wale wenye kuamua kuondoka na
ndege nyingine tunaomba mumfwate mtu anashuka chini muweze kurudishiwa pesa zenu
Zoezi hili la kurudisha pesa za watu ndege nyingi limekuwa likiwafukuzisha wafanyakazi hasa wa ticket pale wanapokuwa
wamewawekea cha juu abiria na gafla mteja anataka arudishiwe pesa yoote maisha yanakuwa magumu sana upandee wao
hata hivyo hongereni fastjet kwa kuweza ku control zoezi hili Pongezi kwa kadada kamoja ka swissport kamekuwa kakisimama na kuwajibu watu shida zao tofauti na airline nyingine wengi wamekuwa wakikimbia shida kama hizi
na wengine hata kuzima simu ...ingawa ni dada wa swissport naamini anahusika na fastjet pia
Kula tano dada hata vidume aviwezi kutangaza dly kama wewe ....
Mwisho furaha yangu kuona ndege hii ya maskiini tajiri kuweza kuondoka
NB:Tafadhalini hata kama wataaondoka saa sita usiku jitahidini ndege irekebishwe ifanyiwe service ,,tunajua zinafanya kazi sana ndege chache rte nyingi twaamini bado mna nafasi ya kufanyia service kwa wakati
sasa zoezi hili limehamia fastjet ambapo hivi punde abiria wameanza kuhangaika huku na kule kutafuta njia mbadala kuelekea makwao
hata hivyo ilikuwa ni announcement ya maana pale walipoambiwa ndege itandoka saa moja na dk 20 kwa wale wenye
kuendelea kusubiri tunaomba wanifwate kuelekea kupata chakula cha mchana na kwa wale wenye kuamua kuondoka na
ndege nyingine tunaomba mumfwate mtu anashuka chini muweze kurudishiwa pesa zenu
Zoezi hili la kurudisha pesa za watu ndege nyingi limekuwa likiwafukuzisha wafanyakazi hasa wa ticket pale wanapokuwa
wamewawekea cha juu abiria na gafla mteja anataka arudishiwe pesa yoote maisha yanakuwa magumu sana upandee wao
hata hivyo hongereni fastjet kwa kuweza ku control zoezi hili Pongezi kwa kadada kamoja ka swissport kamekuwa kakisimama na kuwajibu watu shida zao tofauti na airline nyingine wengi wamekuwa wakikimbia shida kama hizi
na wengine hata kuzima simu ...ingawa ni dada wa swissport naamini anahusika na fastjet pia
Kula tano dada hata vidume aviwezi kutangaza dly kama wewe ....
Mwisho furaha yangu kuona ndege hii ya maskiini tajiri kuweza kuondoka
NB:Tafadhalini hata kama wataaondoka saa sita usiku jitahidini ndege irekebishwe ifanyiwe service ,,tunajua zinafanya kazi sana ndege chache rte nyingi twaamini bado mna nafasi ya kufanyia service kwa wakati