Nipo Lugalo hapa, nimeona kuna ndege ndogo, ikiyumba na kutoa na moshi, inaelekea kuanguka, imeelekea upande wa mbali kidgo. Ningeweza fatilia na kuleta picha hapa, maana itakuwa imeanguka si mbali, ila nimebanwa. Alie karibu zaid na mwenye uwezo alete.info za kutosha na picha kwa faida ya wengi.
rubani atakuwa alikuwa anafanya machejo tu.
Lugalo ipi mkuu? Iringa ama Dar?
Hahahhaaaa umenikumbusha mtwivila,kihesa,mlandege mpaka gangilonga kwa mama msovela wa kitimoto!!!!kitambo!!
Nothing serious maybe.........
![]()
Ngoja nikae karibu na radio
Hutomwelewa tens waache maaero wajekukusaidia kukueleweshaBinafsi sijakuelewa Mkuu.
may day may daynipo lugalo hapa, nimeona kuna ndege ndogo, ikiyumba na kutoa na moshi, inaelekea kuanguka, imeelekea upande wa mbali kidgo. Ningeweza fatilia na kuleta picha hapa, maana itakuwa imeanguka si mbali, ila nimebanwa. Alie karibu zaid na mwenye uwezo alete.info za kutosha na picha kwa faida ya wengi.
unaifahamuhahahhaaaa umenikumbusha mtwivila,kihesa,mlandege mpaka gangilonga kwa mama msovela wa kitimoto!!!!kitambo!!
Mkuu, nadhani unamaanisha kwa "mama Siyovela". Hakika umenikumbusha mbali sana. Pamoja sana Kiongozi.