Ok.. obvious they are dead..!!
Reasons:
1: Once an airplane lost radar contact, definitely transponder is gone dead..!!
2: As well NO TWO-WAY communication between the ATC tower and the Pilot, this means no communications at all...!! Radios are dead..!!
3: No initial distress call that pilot made to ATC tower..
4: If it was hijacked, usually pilot will press 7700 on transponder, to trigger distress and alert ATC tower they are hijacked, without any verbal call, but no hijack signals..!!
Chances of survival is 00%..
Is U.S.A behind this? too early to comment, let's wait..!!
Merry-Chrismas & Happy New Year 2017..View attachment 450103
Iliyokua ndan ya ndege ni team ya kikundi cha jeshi cya utumbuizaji kilichokua kinaenda kwenye sherehe kwenye airbase ipo syriaHeshima yako MALCOM - Merry Xmas, kitu cha kwanza kumbuka kwamba ingawa ndege aina ya TU-154 zilihundwa miaka ya nyuma sana lakini kitendo cha kupotea kwenye rada bila ya marubani kutoa taarifa yoyote kwa waongoza ndege ina maana lilitegwa bomu kwenye cockpit au mmoja wa cabin crew alingia chumba cha marubani amevaa mkanda wa high explosive na kujilipua, kumbuka Urusi ina makabila ya watu mbali mbali wengine wenye akili fyatu ambao wanaweza kurubuniwa na majasusi wa magharibi kuweka bomu wakati wanasafisha ndege,kuweka vyakula
au wakati wana-refuel.
Hii inaonekana it was a well planned operation ya kuhangamiza cream ya wanajeshi muhimu waliokuwa wanakwenda Syria wengi wao wakiwa ni na pilots wa fighter jets, mafundi na ma-instructors, binafsi nafikiri hujuma kama hizi sina shaka Urusi ilijua zinaweza kutokea kutokana na sympathizers wa waasi wa Syria, NATO specifically America na Uingereza hao ndio wako obsessed na Urusi, mafanikio ya kijeshi ya Taifa hilo nchini Syria limeaabisha Mataifa hayo, juzi juzi niliwasikia Majenerali wa jeshi la Merikani wakilalamika kwamba silaha zilizo tumiwa na Warusi nchini Syria hazikuwa na ulazima wowote eti silaha hizo zilitumiwa na Warusi wakiwa na lengo la kuitisha Amerika na washirika wao - just imagine!!
Hata ndege ya Urusi iliyo lipuliwa kwenye anga la jangwa la Sanai wanasema wahusika walikuwa ni majasusi wa Uingereza ndio waliwapa bomu wafanya kazi wa kuhudumia ndege ikiwa aridhini wakaliweka chini ya kiti cha abiria, kwa hiyo hujuma hiyo zitaendelezwa tu - cha muhimu Warusi wawe makini sana na wafanyakazi kwenye viwanja vya nchini mwao ambavyo ni critical kwa operations za nchini Syria.
Binafsi siamini kama ndege hiyo was brought down na MANPAD ambazo Obama alipania kuwapatia waasi kabla hajaondoka Ikulu. Mkuu that's my plausable explanation, I might be wrong.
Iliyokua ndan ya ndege ni team ya kikundi cha jeshi cya utumbuizaji kilichokua kinaenda kwenye sherehe kwenye airbase ipo syria
According to my source
Report: Russian military plane with 91 aboard crashes en route to Syria
Ila lolote ni possible,
And dont overstimate.. Jeshi la urusi sio kama ulivyomezeshwa na wauza kahawa.
Hawa jamaa wanajiamini tu sana but in reality hakuna kitu.
Worse!
walikua wanaenda kusherekea X-mass baada ya kuwalipua watoto na wazee waishio Damascus na Allepo.
Who said no. ? Au hujui tunachokiongelea?The Irony is,
Wataalamu wakubwa kutoka Oxford, Yale na Harvard wanasema Russia is a Global Power.
Yani hata ungeandika kwa lugha ya Malkia hafu kwenye international forums kubwa! Ningesema tu aliyeandika haya ni Mtanzania!Kuna mtu alisema atachukua hatua za kulipiza, ngoja tuone mafahali hawa wawili wataishia wapi. Haingii akilini ndege ya nchi kama Urusi ipotee hivi hvi, hapo ipo vita ya mafahali wawili wanaonyeshana uchawi wao🙁🙁
Who said no. ? Au hujui tunachokiongelea?
Mbona ndege ya jeshi la US ilipata ajali mwezi wa nane na siyo hilo tu na lingine pia lilipata dhoruba..haya masuala hutokeaYes! Trust me,
Kama mwezi wa december huu halia ya hewa ya urusi ni mbaya sana, fog, snow etc.
In other side hata ndege zao za aeroflot zinadondoka sana.
And dont overstimate.. Jeshi la urusi sio kama ulivyomezeshwa na wauza kahawa.
Hawa jamaa wanajiamini tu sana but in reality hakuna kitu.
Worse!
Wewe umetengeneza kiasi gani??Jameni kuna fursa hapa ya kutengeneza pesa nzuri tu,kwa Siku,wiki na hata mwezi.Kama were no kijana,baba mama au Mzee hii ndio fursa,
Chakufanya tembelea hii hapa link kwa maelezo zaidi
jamiiforums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job