Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Kababu haka katulie kajiuguze kapone, kamrudie Mungu kisha kaje kutuomba wa TZ msamahaWaziri Mkuu aliyejiuzulu E. Lowassa amenusurika kifo baada ya ndege ya Precision kupasuka matairi yote 4 wakati ikitua Arusha mchana huu.hakuna mtu aliye jeruhiwa katika kizaza hicho,safari za angani majini na nchi kavu ni zakuwa makini haswa kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.