Ndege ya ATCL ya Julai imefika?

Ndege ya ATCL ya Julai imefika?

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Yah, tuliambiwa itaongezwa ndege mpya ya 3 aina ya bombardier je ilishanunuliwa? ...nipo mbali kidogo na media please

17 PHD these are results
 
Mnataka zikija zitangazwe ili muanze kuzitoa kasoro.
Shubaamiit! Hawarudii tena kosa zikija zinachanganywa na za zamani msijue mpya ni zipi na za zamani ni zipi ili mkose pa kuanzia criticism zenu!
 
Mbona zipo tu zinanyoishwa sambamba na nchi yenyewe
 
We Lilia ndege sisi tupo veta tunajifunza kuendesha noah zikifika tusipate usumbufu

young kilimanjaro
Tulipa mwinga kabisa... nshapewa leseni na mikono bado milaini haijapata ganzi, naziona Noah klometer chache kutoka bandari za tz
 
Tulipa mwinga kabisa... nshapewa leseni na mikono bado milaini haijapata ganzi, naziona Noah klometer chache kutoka bandari za tz
Namshangaa anaelilia ndege sijui anataka mkuu asahau ahadi

young kilimanjaro
 
Back
Top Bottom