FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Ndege ya abiria yaanguka Afghanistan, maafisa wanasema.
Ndege hiyo ilianguka katika eneo la Deh Yak wilaya ya Ghazni, kusini magharibi ya mji wa Kabul, msemaji wa mkoa ameambia vyombo vya habari.
Ndege hiyo alianguka na kushika moto kutokana na hitilafu ya kiufundi, msemaji huyo alisema.
Awali iliripotiwa kuwa ndege hiyo ni ya shirika la ndege ya Ariana lakini shirika hilo limepinga ripoti hizo.
Hakuna taarifa iliyotolewa kuhusiana na majeruhi.
[BBC]
Taarifa zaidi zitafuata!
====
Officials in Afghanistan say an Ariana Airlines passenger plane has crashed in a Taliban-held area of Ghazni province.
Ariana Airlines' acting chief executive has denied reports that one of its planes has crashed after officials in Afghanistan said a plane from the airline crashed in a Taliban-held area of Ghazni province.
[Sky News]
More updates to follow!
Ndege hiyo ilianguka katika eneo la Deh Yak wilaya ya Ghazni, kusini magharibi ya mji wa Kabul, msemaji wa mkoa ameambia vyombo vya habari.
Ndege hiyo alianguka na kushika moto kutokana na hitilafu ya kiufundi, msemaji huyo alisema.
Awali iliripotiwa kuwa ndege hiyo ni ya shirika la ndege ya Ariana lakini shirika hilo limepinga ripoti hizo.
Hakuna taarifa iliyotolewa kuhusiana na majeruhi.
[BBC]
Taarifa zaidi zitafuata!
====
Officials in Afghanistan say an Ariana Airlines passenger plane has crashed in a Taliban-held area of Ghazni province.
Ariana Airlines' acting chief executive has denied reports that one of its planes has crashed after officials in Afghanistan said a plane from the airline crashed in a Taliban-held area of Ghazni province.
[Sky News]
More updates to follow!