Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni na klabu ilopata kusajili nyota weeengi wa ukweli hapa Duniani yaani AC Milan imefanikiwa kumnyaka kiungo mwenye tashtiti na pilika zenye mafanikio yaani Robinho.
Habari zilizotapakaa kwenye vyombo vya habari Barani Europa vimeripoti kuwa Robinho ametua ktk klabu hii yenye mafanikio zaidi na tayari wachambuzi wa maswala ya soka wameweka wazi kuwa kwa muungano wa Robinho na Gaucho basi lazima mabeki watapike ama wafungulie kabla ya Muda ktk mwezi huu wa Ramadhan.
Robinho amefuatana na mshambuliaji ambaye alipokuwa Ajax aliwapa ubingwa wa ligi ya huko mara kadhaa, halikadhalika alipohamia Juve, Pia aliwapa ubingwa Inter, na Kisha Barca na sasa katua Milan huyu si mwingine bali ni Zlatan Ibrahimovic.
Nami kwa niaba ya makamu mwenyekiti wa Klabu muheshimiwa Adriano Galliani napenda kumtakia kila la kheri Robinho.
Habari zilizotapakaa kwenye vyombo vya habari Barani Europa vimeripoti kuwa Robinho ametua ktk klabu hii yenye mafanikio zaidi na tayari wachambuzi wa maswala ya soka wameweka wazi kuwa kwa muungano wa Robinho na Gaucho basi lazima mabeki watapike ama wafungulie kabla ya Muda ktk mwezi huu wa Ramadhan.
Robinho amefuatana na mshambuliaji ambaye alipokuwa Ajax aliwapa ubingwa wa ligi ya huko mara kadhaa, halikadhalika alipohamia Juve, Pia aliwapa ubingwa Inter, na Kisha Barca na sasa katua Milan huyu si mwingine bali ni Zlatan Ibrahimovic.
Nami kwa niaba ya makamu mwenyekiti wa Klabu muheshimiwa Adriano Galliani napenda kumtakia kila la kheri Robinho.